Hivi mbunge wa Segerea kazi yake nini?

Hivi mbunge wa Segerea kazi yake nini?

Nauliza hivi kwa mshangao sana. Ni kuhusu suala la maji. Yapo maeneo maji wanapata kila siku. Kuanzia Bima kwenda hadi relini kule maji ni kila wakati. Mshangao kwao ni maji yakikatika.

Maeneo ya Segerea kuelekea Kisukuru na Bonyokwa huko kuna changamoto sana ya maji. Huku yakitoka inabidi tushangae. Kwa nini? Au mifumo ya kuleta maji katika maeneo hayo tajwa ni miwili tofauti?

Kwa nini basi pasifanywe mgao kati ya maeneo haya? Huku tunanunua maji ya magari. Ni ghali kweli wakati mabomba tumefungiwa na dawasa. Msimu huu wa mvua tunaponea ya mvua. Mbunge na madiwani mnafanya kazi gani?

Au hayo magari ya kusomba maji ni miradi yenu? Tunahitaji na tunataka maji ya uhakika kama maeneo mengine
Utakuta analima mbogamboga na wafungwa
 
Wapinzani walituchelewesha sana, In Wananchi's voice'
Kuna barabara pia ya kutoka Kinyerezi shule-Bonyokwa-Kimara Mwisho yani ni very potential road ila haiwekwi lami, ukiangalia mtu amejenga Barabara za mitaa ya kwa Gude pale Mbele ya Jet na haziko busy kama hii.

Sometimes unawangalia wenye mamlaka, wasomi anasema inhiiiiiiiiiiiiii,

Wenye kufikiri kwa akili hawana mamlaka na wanatawaliwa na wasiokua na akili
 
Mbunge hana muda kutatua matatizo ya wananchi kwasababu siku ya kupiga kura anauhakika wa kushinda kwa wizi wa kura.
 
1. Barabara ya tabata - maji chumvi only 4km ambazo kwa ushawishi wa kibunge bajeti ingepatikana na angepata ridhaa ya wananchi wa eneo hilo. Ana shida ya kuongea ma watu kama vile anawaogopa
2. Machinjio ya Vingunguti - mradi wa pesa nyingi kwa jiji lakini anashindwa kuibana serikali ikamilishe. Nadhani anasubiri muda wa kuchaguliwa ukaribie ili aongeze juhudi
 
1. Barabara ya tabata - maji chumvi only 4km ambazo kwa ushawishi wa kibunge bajeti ingepatikana na angepata ridhaa ya wananchi wa eneo hilo. Ana shida ya kuongea ma watu kama vile anawaogopa
2. Machinjio ya Vingunguti - mradi wa pesa nyingi kwa jiji lakini anashindwa kuibana serikali ikamilishe. Nadhani anasubiri muda wa kuchaguliwa ukaribie ili aongeze juhudi
Pengine haoni sababu ya kuwaongelea wananchi kwa kuwa na yeye wamemfanya gombania goli
 
Wapinzani walituchelewesha sana, In Wananchi's voice'
Kuna barabara pia ya kutoka Kinyerezi shule-Bonyokwa-Kimara Mwisho yani ni very potential road ila haiwekwi lami, ukiangalia mtu amejenga Barabara za mitaa ya kwa Gude pale Mbele ya Jet na haziko busy kama hii.

Sometimes unawangalia wenye mamlaka, wasomi anasema inhiiiiiiiiiiiiii,

Wenye kufikiri kwa akili hawana mamlaka na wanatawaliwa na wasiokua na akili
heheheheeee.....
 
Acha umbeya wako makamu wa Rais huwa anafuata nini huko kisukuru?. Kwani kuna miradi ya maendeleo alikuja kuzindua huko. Labda alikuwa anapita tuu njia wewe unadanganya watu hapa
 
Tatizo sio mbunge, jiji la Dar watu wanajenga jenga tu bila masterplan, mwisho wa siku maendeleo yanafuata watu...
 
Back
Top Bottom