Hivi mbunge wa Segerea kazi yake nini?

Hamna mbunge competent mle! She is not committed at all yani ni anaifanya kama kazi ya ofisini kwamba bora liende alimradi analipwa posho zake na yake yanamuendea.
 
Acha umbeya wako makamu wa Rais huwa anafuata nini huko kisukuru?. Kwani kuna miradi ya maendeleo alikuja kuzindua huko. Labda alikuwa anapita tuu njia wewe unadanganya watu hapa
We fala Makamu ana nyumba tena mtaa wa pili toka tunapoishi huwa anakuja tembelea familia. Boya kweli wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…