LGE2024 Hivi Mdude Nyagali atahojiwa Vituo Vingapi, Kwani Polisi hawatumii TEHAMA? Sasa hivi kaletwa Dar es salaam

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Vikundi vya kigaidi ndo hutumia njia hizo kuwadhibiti wanaowapinga.

Mkuu
Kuna laana inakuja yaami tauni mbaya sana dhidi ya polisi na CCM. Wanaamini hawagusiki, asili itawaadabisha
 
Nenda kamtoe
 
Nafurahi umeelewa hili, polisi isisumbuke na matahaira, "likitukana kamata chapa bakora"
Pimia madhila aliyoyapitia sativa, tafakari, uone kama ni mzima wa akili, pitia, Ulimboka utagundua huyu ni mzima kiakili, (hawa wana ukichaa type 2)
Hawawezi chukua ushauri wa mtu mjinga kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…