Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Ninamlaumu Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA kwa kutomsaidia Mdude kisaikolojia na kumwacha aangamie. Mbona kina Malisa GJ na yule mtoto wa Mbowe hawapati kashkash kama za Mdude? Jibu ni kuwa wazazi wao ambao pia ni wamiliki wa CHADEMA wanawaongoza vizuri na kuwaonya kuhusu uropokaji. Mdude kwasababu ni mtu baki ni kama wamemtoa kafara. Anachoambulia ni hashtag ya free mdude. Kina Mnyika wao huwa hawakamatwi kwa sababu wanajua timing ya kuongea. Mdude kama watoto wengine kutoka familia maskini wanawekwa mstari wa mbele kimakusudi na mmiliki wa CHADEMA Sultan Mbowe.
Harakati ndizo zilivyo
Malcolm x ,Luther King, Mandela,biko
Nk wote walipitia kashkash

Ova
 
Huyu Stuxnet ni wa ovyo kweli,
Magufuli alifanya huu ujinga, alimkosoa kweli, hilo sio shida, hata Mimi nilimkosoa JPM

Leo Samia anafanya ujinga ule ule, eti anasema serikali imeona hatuna busara. Huu ni ujinga wa ovyo. Na nakuonya Stuxnet uache kutumika na serikali hii ktk ujinga kama huu.

Halafu kama ni kukomaa, mbona comments zako tena za maneno makali sana zipo humu dhidi ya JPM?!
Sasa hiyo kusema saivi hatuna busara , mara hatujakomaa, ndio nini.. au kisa ni Samia!


Acheni ujinga bhana
Ukiona hivo jua analamba asali kipind cha jpm alitemwa kwenye system
 
Majitu mnayowaza kuishi kwakupumliwa nyuma huwa hamuwazi kujitegemea zaidi ya kufurahisha mabwana zenu. Achana na Mdude huyo ni mwanaume sio we shoqer.
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
Acha uoga wewe nanga wademo...umezaliwa kuwa mtumwa au
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
Kwani huyo mama si anaishi kwa kodi zetu, serikali bila kodi zetu ingekua wapi ? Wanaishi kwa hela zetu halafu hawataki kusemwa ? Uo ni umaskini wakifikra na mawazo yakikoloni
 
Usihadaike na wapiga Dili walipiga pesa kwenye Dili la kamatakamata ya wapinzani zama za jiwe,kamata kamata ni biashara watu wanaingiza per diem siku zinazosonga
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
Ainisha hapa hayo matusi
 
Huyu Stuxnet ni wa ovyo kweli,
Magufuli alifanya huu ujinga, alimkosoa kweli, hilo sio shida, hata Mimi nilimkosoa JPM

Leo Samia anafanya ujinga ule ule, eti anasema serikali imeona hatuna busara. Huu ni ujinga wa ovyo. Na nakuonya Stuxnet uache kutumika na serikali hii ktk ujinga kama huu.

Halafu kama ni kukomaa, mbona comments zako tena za maneno makali sana zipo humu dhidi ya JPM? Sasa hiyo kusema saivi hatuna busara , mara hatujakomaa, ndio nini.. au kisa ni Samia!

Acheni ujinga bhana
Leta hizo comments dhidi ya JPM halafu nikuwekee comments zangu dhidi ya Samia kwenye mkataba wa DP WORLD! Usidhani mimi nimeunga mkono ule mkataba, nimeukosoa kwa ustaarabu

Magufuli alikuwa anateka na kuua wakosoaji, wako wapi akina Ben Saanane au Azory.

Kwa Samia Polisi wamekiri kuwa wamemkamata Mdude. Tusubiri mashtaka yake Mahakamani
 
Majitu mnayowaza kuishi kwakupumliwa nyuma huwa hamuwazi kujitegemea zaidi ya kufurahisha mabwana zenu. Achana na Mdude huyo ni mwanaume sio we shoqer.
Nenda kamkague njia ya haja kubwa uone namna manyampala walivyomharibu Mdude, kisha uje utuambie uwanaume wake uko wapi
 
Harakati ndizo zilivyo
Malcolm x ,Luther King, Mandela,biko
Nk wote walipitia kashkash

Ova
Mnamjaza ujinga naye Mdude anajaa na kujiona ni sawa Malxom X. Malxom X wa Vwawa, Mbozi
 
Ninamlaumu Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA kwa kutomsaidia Mdude kisaikolojia na kumwacha aangamie. Mbona kina Malisa GJ na yule mtoto wa Mbowe hawapati kashkash kama za Mdude?

Jibu ni kuwa wazazi wao ambao pia ni wamiliki wa CHADEMA wanawaongoza vizuri na kuwaonya kuhusu uropokaji. Mdude kwasababu ni mtu baki ni kama wamemtoa kafara.

Anachoambulia ni hashtag ya free mdude. Kina Mnyika wao huwa hawakamatwi kwa sababu wanajua timing ya kuongea.

Mdude kama watoto wengine kutoka familia maskini wanawekwa mstari wa mbele kimakusudi na mmiliki wa CHADEMA Sultan Mbowe.
Umeongea Ujinga sana
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
"Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake" sasa tusi hapa ni wembe au kunyolewa?
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
Tatizo wewe ni.mtwana wa mawazo, kunyoa Ni tusi, pumbavu
 
Back
Top Bottom