Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
Hayo maneno ndo yanatosha kuitwa uhaini? Hamtashusha joto la uuzaji wa Bandari Kwa kuwakamata Mdude na Mwabukusi. Mnaongeza ushawishi wa Wananchi kuelewa wizi wenu.
 
Mama yako atanyolewa na nani sasa na kiwembe ni kimoja?
nasema mama yako ninaye hapa namnyoa, uwe unasikia. huyo unayemuita baba yako siyo baba yako ni wa kufikia tu. mimi ndiyo baba yako halali, huyo alibambikiwa
 
Hayo maneno ndo yanatosha kuitwa uhaini? Hamtashusha joto la uuzaji wa Bandari Kwa kuwakamata Mdude na Mwabukusi. Mnaongeza ushawishi wa Wananchi kuelewa wizi wenu.
Leta risiti ya kuuzia bandari tuione. Hapo kwenye uwongo wenu ndipo shida ilipoanzia
 
nasema mama yako ninaye hapa namnyoa, uwe unasikia. huyo unayemuita baba yako siyo baba yako ni wa kufikia tu. mimi ndiyo baba yako halali, huyo alibambikiwa
Wewe hanithi una uume wa kuendea haja ndogo tu unaweza ukamzaa nani?. Peleka matako yako kwa bashan wako
 
Kwenye hotuba yake ya kwanza akiapishwa Rais Samia mnamo 19/03/2021 alitamka kuwa magazeti yafunguliwe, wananchi waikosoe Serikali kwa mujibu wa sheria. Akasisitiza na kesi za kubambikizwa zifutwe. Akakemea Kodi za DHULUMA zikusanywazo na TRA, na kuikemea TAKUKURU na Polisi kwa kuwanyanyasa watu bila makosa.

Kweli tukaanza kuona nuru mpya baada ya siku chache. Ikawa kama ni kupindua kabisa mambo ya ukatili na uuaji ambayo yalitamalaki wakati wa Magufuli.

Kesi ya Akwilina ikapinduliwa na Mahakama ya Rufaa, yule Mdude CHADEMA wa Mbozi maarufu kwa matusi naye akashinda kesi

Mara tukaanza kusikia kauli za matusi kwenye mikutano ya CHADEMA. Mfano ni ile kauli ya Mdude siku 4 tu baada ya kuachiwa alisikika akiongea Jukwaani Barracuda Tabata kuwa "Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake"

Alitamka maneno mbele ya Mbowe na viongozi wengine wa CDM na hawakumchukulia hatua mpaka leo.

Kwa mtazamo wangu Serikali imeona pengine bado hatuna busara katika kutumia uhuru wa maoni. Tunaleta matusi badala ya kutoa maoni.
yule amekosa malezi sahihi, pili anatumia bangi, tatu ana matatizo ya afya ya akili, nne anatumiwa na vibaraka na wapinzani wa rais Samia. Hana amani ya moyo, anahitaji maombi makubwa. Ila subiri kule aliko sahivi kutamfunza vya kutosha.
 
Hakuna kukosoa kwa usraarabu.
A ni A na B ni B Samia kakosea na inabidi akemewe hadharani.
Kwanini asigawe na bandari za Zanzibar?
Je, ni upendo gani mkuu alio nao kwa Tanganyika kuliko Zanzibar ambako ndio kwake?
Umelewa na mama wa kufikia siyo? matusi ni kukosoa? Halafu ujue Samia siyo rais wa Zanzibar, Zanzibar ina rais wake hawaingiliwi ktk mipango yao ya maendeleo. Issue ya babdari ilikuwaga ya muungano, marekebisho yamefanyika siyo ya muungano tena.
 
Hayo maneno ndo yanatosha kuitwa uhaini? Hamtashusha joto la uuzaji wa Bandari Kwa kuwakamata Mdude na Mwabukusi. Mnaongeza ushawishi wa Wananchi kuelewa wizi wenu.
usikose kuhudhuria mahakamani utajua km ni uhaini au la
 
Tatizo hiki kikundi cha magaidi inatakiwa kifutwe kabisa kipotee kabisa. Hapo dawa ni kukamata na kuweka ndani mbowe na kurejesha ile kesi ili ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa
Ingekuwa ni kwenye mahakama za kimataifa ningeshangaa kama Mbowe angeshitakiwa kwa lolote kwa ile kesi ya kubumba. Lakini kwa mahakama hizi zinazopewa maagizo na viongozi wa CCM wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi za nchi, nashangaa kwanini Mbowe hajafungwa.
 
Umelewa na mama wa kufikia siyo? matusi ni kukosoa? Halafu ujue Samia siyo rais wa Zanzibar, Zanzibar ina rais wake hawaingiliwi ktk mipango yao ya maendeleo. Issue ya babdari ilikuwaga ya muungano, marekebisho yamefanyika siyo ya muungano tena.
Hakuna muungano ambao Mzanzibari anaweza kupata ardhi na hata kugombea cheo chochote huku Tanganyika, lakini mtanganganyika ukienda Zanzibar huwezi kupata chochote kati ya hivyo. Huo sio muungano bali ni utapeli wa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom