Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Harakati ndizo zilivyo
Malcolm x ,Luther King, Mandela,biko
Nk wote walipitia kashkash

Ova
 
Ukiona hivo jua analamba asali kipind cha jpm alitemwa kwenye system
 
Majitu mnayowaza kuishi kwakupumliwa nyuma huwa hamuwazi kujitegemea zaidi ya kufurahisha mabwana zenu. Achana na Mdude huyo ni mwanaume sio we shoqer.
 
Acha uoga wewe nanga wademo...umezaliwa kuwa mtumwa au
 
Kwani huyo mama si anaishi kwa kodi zetu, serikali bila kodi zetu ingekua wapi ? Wanaishi kwa hela zetu halafu hawataki kusemwa ? Uo ni umaskini wakifikra na mawazo yakikoloni
 
Usihadaike na wapiga Dili walipiga pesa kwenye Dili la kamatakamata ya wapinzani zama za jiwe,kamata kamata ni biashara watu wanaingiza per diem siku zinazosonga
 
Ainisha hapa hayo matusi
 
Leta hizo comments dhidi ya JPM halafu nikuwekee comments zangu dhidi ya Samia kwenye mkataba wa DP WORLD! Usidhani mimi nimeunga mkono ule mkataba, nimeukosoa kwa ustaarabu

Magufuli alikuwa anateka na kuua wakosoaji, wako wapi akina Ben Saanane au Azory.

Kwa Samia Polisi wamekiri kuwa wamemkamata Mdude. Tusubiri mashtaka yake Mahakamani
 
Majitu mnayowaza kuishi kwakupumliwa nyuma huwa hamuwazi kujitegemea zaidi ya kufurahisha mabwana zenu. Achana na Mdude huyo ni mwanaume sio we shoqer.
Nenda kamkague njia ya haja kubwa uone namna manyampala walivyomharibu Mdude, kisha uje utuambie uwanaume wake uko wapi
 
Harakati ndizo zilivyo
Malcolm x ,Luther King, Mandela,biko
Nk wote walipitia kashkash

Ova
Mnamjaza ujinga naye Mdude anajaa na kujiona ni sawa Malxom X. Malxom X wa Vwawa, Mbozi
 
Umeongea Ujinga sana
 
"Mwambieni huyo Mama yenu, nitamnyoa kwa wembe uleule niliotumia kumnyoa mtangulizi wake" sasa tusi hapa ni wembe au kunyolewa?
 
Tatizo wewe ni.mtwana wa mawazo, kunyoa Ni tusi, pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…