Uchaguzi 2020 Hivi mgombea wa CCM atafikisha hata 40% ya kura kweli?

Unamzungumzia Lisu atayekuwa na kura elfu mbili.
 
mkuu unaonaje matokeo,pole ndugu
 
Haya matokeo yameonyesha watanzania wengi bado wana imani na chama cha mapinduzi. Hata hivyo uchaguzi huu uligubikwa na hujuma kwa mawakala, na wagongea wa vyama vya upinzani
 
Wapinzani inabidi wachukue familia zao ili waandamane kwa kuzunguka nyumba zao. Walianza kuzunguka pale ufipa walipopanga kwa kuwaonyesha wanachama wao kwamba uwezo huo wanao. Aibu kubwa hii, Mlevi wa konyagi na genge lake chali. Hata wale vibaraka waliojaa humu JF kwisha habari yao. Walijinadi hadi kumwalika sara kuku lakini wapi? Tanzania iko imara mwedo mdundo hadi kieleweke. 2025 CCM na Serikali itaangalia imewafikisha Watanzania wapi na inataka kuwapeleka wapi. Hongera sana Chama ChaMapinduzi kwa ushindi mnono chini ya Jemedari John Pombe Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…