Hivi mimba ya miezi miwili tu inaweza kumfanya mtu akawa na hasira na kiburi?

Hivi mimba ya miezi miwili tu inaweza kumfanya mtu akawa na hasira na kiburi?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Habari wapendwa?

Nina mtu wangu ana mimba ya miezi miwili tu but amebadilika sana, kawa na hasira za ghafla na kiburi hatari.

So nauliza,kwa umri wa hiyo mimba ni sahihi kwa yeye kuwa hivyo au analeta maigizo tu?
 
Hii ni kama kumuaminisha dem ikisimamisha kwa mda mref bila kufanya inauma, hivi vitu ukweli mdogo(6%) maigizo mengi(94%)

Ukiona anafanya hvyo jua alkuwa hakupendi hata kidogo, na mie huuma kama hatujafanya miez zaid ya 10
 
Nakumbuka ilikuwa kila nikirudi kutoka kazini anawahi kunivua fulana yangu kisha anainusa usiku kucha.Anasema alikuwa anapenda jasho langu na asipolala Nalo hawezi kupata usingizi kabisa

Alifanya hivi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wake Ila isivyo bahati mimba yake ilipofikisha miezi 6 siku moja akateleza kwenye tiles zilizolowana maji akaangukia mimba ikaharibika papohapo



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Uko nae maskani au yuko mahome kwao au kwake mnaonana deidei? Assumption umeibiwa kama hana uaminifu na kama ni wa mahome kwao au deidei au kwake basi tafakari.
 
Nakumbuka ilikuwa kila nikirudi kutoka kazini anawahi kunivua fulana yangu kisha anainusa usiku kucha.Anasema alikuwa anapenda jasho langu na asipolala Nalo hawezi kupata usingizi kabisa

Alifanya hivi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wake Ila isivyo bahati mimba yake ilipofikisha miezi 6 siku moja akateleza kwenye tiles zilizolowana maji akaangukia mimba ikaharibika papohapo



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Very sorry [emoji20]
 
Nakumbuka ilikuwa kila nikirudi kutoka kazini anawahi kunivua fulana yangu kisha anainusa usiku kucha.Anasema alikuwa anapenda jasho langu na asipolala Nalo hawezi kupata usingizi kabisa

Alifanya hivi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wake Ila isivyo bahati mimba yake ilipofikisha miezi 6 siku moja akateleza kwenye tiles zilizolowana maji akaangukia mimba ikaharibika papohapo



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
I am so sorry for both you and your wife.
Anaendeleaje sasa? Nyie wote mnaendeleaje baada ya hilo kutokea?
 
Mkuu kitu kidogo hicho sasa mimi niliyeambiwa nirudi home na sanamu la askar wa posta yule na mtu yuko serious ila daah wanawake nyie[emoji28][emoji28].

Soon utaanza root za usiku mtu anamka sa8 usiku anakwambia anataka muwa hapo ndo utajua hujui[emoji28]
 
Kesha jua huna pa kutokea, ukichomoka child support is in u asii..
Mimi nilipiga chini haikufika hata mwezi akawa mtulivu... Dadakeki
 
Nakumbuka ilikuwa kila nikirudi kutoka kazini anawahi kunivua fulana yangu kisha anainusa usiku kucha.Anasema alikuwa anapenda jasho langu na asipolala Nalo hawezi kupata usingizi kabisa

Alifanya hivi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wake Ila isivyo bahati mimba yake ilipofikisha miezi 6 siku moja akateleza kwenye tiles zilizolowana maji akaangukia mimba ikaharibika papohapo



Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Poleni sana .
 
Pole kwa unayopitia kwa sasa , nachoweza kusema sio maigizo , mvumilie tu maana mabadiliko katika hormones ndo zinapelekea mtu kuwa hivyo .

Emotional turbulence tends to hit hardest during the first trimester, as your body is adjusting to changing hormone levels. For some women, mood swings are one of the earliest signs of pregnancy, starting as soon as week 4.
 
Poleni sana mkuu,,, Anaendeleaje wifi yangu kwa sasa
Anaendelea vizuri sn,lkn hajawahi kushika mimba tena..tukio lilitokea mwaka Jana mwezi wa 8

Nampa moyo namwambia wakati wa MUNGU ukifika atapata mtoto mwingine maana bado Sisi ni vijana ..kuna muda huwa namkuta analia nikimuuliza anajibu anakumbuka mwanae,ni km aliathirika kisaikolojia maana alipopelekwa hospital mtoto alipotolewa akaonyeshwa akiwa ameshakufa na Tyr alishakamilika maumbile(alikuwa wa kiume)

Cc: Paula Paul 🙏
 
Back
Top Bottom