Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mwambie akiendelea hivyo utampandisha cheo.Habari wapendwa?
Nina mtu wangu ana mimba ya miezi miwili tu but amebadilika sana,kawa na hasira za ghafla na kiburi hatari.
So nauliza ,kwa umri wa hiyo mimba ni sahihi kwa yeye kuwa hivyo au analeta maigizo tu?
Habari wapendwa?
Nina mtu wangu ana mimba ya miezi miwili tu but amebadilika sana,kawa na hasira za ghafla na kiburi hatari.
So nauliza ,kwa umri wa hiyo mimba ni sahihi kwa yeye kuwa hivyo au analeta maigizo tu?
Huwa inaleta psychological trauma kwa mama , na ni vizuri unavyompa moyo .Anaendelea vizuri sn,lkn hajawahi kushika mimba tena..tukio lilitokea mwaka Jana mwezi wa 8
Nampa moyo namwambia wakati wa MUNGU ukifika atapata mtoto mwingine maana bado Sisi ni vijana ..kuna muda huwa namkuta analia nikimuuliza anajibu anakumbuka mwanae,ni km aliathirika kisaikolojia maana alipopelekwa hospital mtoto alipotolewa akaonyeshwa akiwa ameshakufa na Tyr alishakamilika maumbile(alikuwa wa kiume)
Cc: Paula Paul 🙏
Amina🙏Huwa inaleta psychological trauma kwa mama , na ni vizuri unavyompa moyo .
Mungu ni mwema naamini atawajalia mtoto .
Mlie timing, mweleze kistaarabu kuwa yeye siyo mwanamke wa kwanza kushika mimba, asitumie mimba kama sababu ukimuendekeza utakuwa unashindwa kufanya mambo mengine ya msingi kisa ana mimba.Habari wapendwa?
Nina mtu wangu ana mimba ya miezi miwili tu but amebadilika sana, kawa na hasira za ghafla na kiburi hatari.
So nauliza,kwa umri wa hiyo mimba ni sahihi kwa yeye kuwa hivyo au analeta maigizo tu?
Pole mkuu,Anaendelea vizuri sn,lkn hajawahi kushika mimba tena..tukio lilitokea mwaka Jana mwezi wa 8
Nampa moyo namwambia wakati wa MUNGU ukifika atapata mtoto mwingine maana bado Sisi ni vijana ..kuna muda huwa namkuta analia nikimuuliza anajibu anakumbuka mwanae,ni km aliathirika kisaikolojia maana alipopelekwa hospital mtoto alipotolewa akaonyeshwa akiwa ameshakufa na Tyr alishakamilika maumbile(alikuwa wa kiume)
Cc: Paula Paul [emoji120]
Facts.Tabia za wajawazito huwa hazina uhusiano wa moja kwa moja na hali yao. Wengi wao ni kutaka sifa sababu kabla hawajawa wajawazito walishasikia wenzao wanavyokuwa wakiwa na ujauzito.
Sasa ukitaka jua anakufanyia kusudi mpeleke kwa wazazi wake au nduguze au mtafute mtu akae nae wewe safiri nenda mbali nae uone kama hajanyooka.
Hizo ni fujo za kutafuta attention , ingawa huwa wakiwa katika hiyo hali huwa kuna mabadiliko ya kisaikolojia wanapitia ila huwa si kwamba wanakuwa 100% nje ya control ya akili yao.
Ooh jamani. It's such a hard thing to experience. Just keep being there for her , she will get through this, Yah, y'all will get through this.Anaendelea vizuri sn,lkn hajawahi kushika mimba tena..tukio lilitokea mwaka Jana mwezi wa 8
Nampa moyo namwambia wakati wa MUNGU ukifika atapata mtoto mwingine maana bado Sisi ni vijana ..kuna muda huwa namkuta analia nikimuuliza anajibu anakumbuka mwanae,ni km aliathirika kisaikolojia maana alipopelekwa hospital mtoto alipotolewa akaonyeshwa akiwa ameshakufa na Tyr alishakamilika maumbile(alikuwa wa kiume)
Cc: Paula Paul 🙏
Thank u madam Paula Paul 🙏Ooh jamani. It's such a hard thing to experience. Just keep being there for her , she will get through this, Yah, y'all will get through this.
Again, sorry this happened to you guys.
Btw, you sound a very caring and compassionate husband. Tunahitaji wanaume wa hivi