Asante sana Kaka.
Naomba ni msisii Numbisa hapa. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃTatizo unacheka afu hutaki kunizawadia...
Kitu umepewa bure na Mungu, kwanini unakuwa mchoyo kukitumia na aliyeumbwa na Mungu ?
This choice I made. It hurts me so mama,Yaan mkuu huyu wangu kama anakudai pesa yake na pengine labda hukufanikiwa kuipata aisee hadi uwa analia machozi kama mtoto na hapo umemuhaid kwamba utampatia pesa yake
Niligundua wanawake wengi sana (siyo wote) sasa ni makahaba(prostitutes) kibarua kiliota nyasi nilinuniwa na unyumba kunyimwa,halafu mambo yaliporudi sawa bila aibu anajichekelesha na kurudisha mahaba. Kwa sasa nanunua tu makahaba wasiojipanga barabarani maana sasa wanawake wenye mapenzi ya kweli wamekuwa hatarini kutoweka (extinction) mapenzi yamekuwa biashara holela.Habari wakuu
Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi uwa anaikubali hyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa kwangu make naona subira yake ipo kwenye vingine sio pesa
Ebu tupe mtazamo kwa uyo wa kwako
Hao ambao hawajipangi barabarani unawanunulia wapi mkuu na standard ipo vizuri..nipe shule kijana wako,sitaki kuvuga matatizo ya bure.Niligundua wanawake wengi sana (siyo wote) sasa ni makahaba(prostitutes) kibarua kiliota nyasi nilinuniwa na unyumba kunyimwa,halafu mambo yaliporudi sawa bila aibu anajichekelesha na kurudisha mahaba. Kwa sasa nanunua tu makahaba wasiojipanga barabarani maana sasa wanawake wenye mapenzi ya kweli wamekuwa hatarini kutoweka (extinction) mapenzi yamekuwa biashara holela.
Naomba ni msisii Numbisa hapa. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Rafiki Eti babu anataka kuzawadiwa. Lol. ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Hahahahaaa. Na hiyo ndo ilikuwa hofu yangu rafiki.Mwambie babu huko hatari asijegeukwa akatoa yeye huyu babu keshaanza kuparamia michongoma sasa๐๐๐๐๐. Tumuokoe๐๐๐๐๐
Hahahahaaa. Na hiyo ndo ilikuwa hofu yangu rafiki.
Nipo mlimani kumwombea huyu pepo mbaya amtoke. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hivi kwa mfano akinuna hivyo,halafu ukamwambia njoo huku atakataa?maana hiyo nayo ni tiba...Habari wakuu.
Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi huwa anaikubali hiyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa kwangu make naona subira yake ipo kwenye vingine sio pesa.
Ebu tupe mtazamo kwa uyo wa kwako.
Shetani anadate na binadamu.... Ila ka vip njoo tujaribuJust deal na the type of people unazokua nazo in relationships ili uache kusema wanawake wote ni mashetani,shetani ana date na shetani mwenzake ๐
Wewe wanaume sisi ni very honest and kindiestUkiona hivyo na wanaume walianguka na air force one,ni droo hapo๐๐
Inategemea ntu na ntu pesa kwangu haiezi leta ugomvi ama kupunguza mapenzi kwa mume wangu kama hakuna tofauti zingine kati yetuManeno ya jukwaani tuu hayo..๐๐hamna mashetani ka ninyi
KAMA MKEO NI SHETANI HAIMAANISHI NA WAKE WA WENGINE NI MASHETANIManeno ya jukwaani tuu hayo..๐๐hamna mashetani ka ninyi
Usiombe upitie ilo jaribu na utakapokua unamfanyia Visa mumeo akiliako itakuambia upo sahihi tuuInategemea ntu na ntu pesa kwangu haiezi leta ugomvi ama kupunguza mapenzi kwa mume wangu kama hakuna tofauti zingine kati yetu
Usipanic ukiwa shetani huwezi jijuaKAMA MKEO NI SHETANI HAIMAANISHI NA WAKE WA WENGINE NI MASHETANI