Hivi mkeo huwa anachukulia vipi unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa fedha?

Hivi mkeo huwa anachukulia vipi unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa fedha?

Habari wakuu.

Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi huwa anaikubali hiyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa kwangu make naona subira yake ipo kwenye vingine sio pesa.

Hebu tupe mtazamo kwa huyo wa kwako.
Shida hua ipo pale pesa inapokuwepo hua mnapanga wote Budget??mim wangu hua yupo 50/50.
 
Yaan mkuu huyu wangu kama anakudai pesa yake na pengine labda hukufanikiwa kuipata aisee hadi uwa analia machozi kama mtoto na hapo umemuhaid kwamba utampatia pesa yake
Yani anadai hela kwa kilio kmmmke dah?!
 
Niligundua wanawake wengi sana (siyo wote) sasa ni makahaba(prostitutes) kibarua kiliota nyasi nilinuniwa na unyumba kunyimwa,halafu mambo yaliporudi sawa bila aibu anajichekelesha na kurudisha mahaba. Kwa sasa nanunua tu makahaba wasiojipanga barabarani maana sasa wanawake wenye mapenzi ya kweli wamekuwa hatarini kutoweka (extinction) mapenzi yamekuwa biashara holela.
Kweli kabisa mkuu, ni makahaba ambao hawako certified ila wanajishughulisha na uuzaji maku kiholela 😅😅😅!

Mwanamke akinitesa nikiwa sina hela zoezi la kwanza ni kumfurumusha baada ya kupata hela sitaki mazoea nae hata chembe!
 
kabisa kuna wake wanabeba waume zao ndani na kuwastiri mno
hii pia utegemeana na jinsi anavyomtreat mkewe anapokuwa na pesa
Wanawake ambao kutwa kukucha eti siwezi kumlea mwanaume mimi,ila mume yeye anakulea na kukuvisha bila kuchoka miaka yote ila akipata majanga kiuchumi unamgeukia hivi mtu wa aina hii akitoa hela yake alishe familia week tu sindio na deki utapigishwa kabisa?
 
Wanawake ambao kutwa kukucha eti siwezi kumlea mwanaume mimi,ila mume yeye anakulea na kukuvisha bila kuchoka miaka yote ila akipata majanga kiuchumi unamgeukia hivi mtu wa aina hii akitoa hela yake alishe familia week tu sindio na deki utapigishwa kabisa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Atatangazia na Umma kuwa anakulisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Atatangazia na Umma kuwa anakulisha
Ndio hao hao leo hii wamegeuka malaika eti atamsupport tu sababu anajua kuna kupata na kukosa 😅😅😅! Ila ikija mada ya kusaidiana na mume utaona walivyo vinyonga 😅

Kuna mzee tu hapa mtaani ni mzee wa heshima amefanya kazi mda mrefu tu serikalini! Amemaliza muda wake akastaafu hajamaliza miaka miwili mtaani mkewe inasemekana anamuwashia moto balaa yani! Jamaa anasimangiwa mambo ya kijinga jinga tu pesa imekata na pensheni yake kule wanamzungusha baada ya kuifatilia bila mafanikio akaona arudi zake kijijini kwao Mbeya tu. Mkewe bado ni mfanyakazi kwa hio anakazi ya kusimamia show zote mjengoni ila kwa yale manyanyaso na mkewe kukosa stara na matangazo jamaa ilibidi asepe amuachie na nyumba kabisa na magari! Kaenda zake kwao Mbeya jamaa.
 
Sio mke ila ni mchumba, nilikwama kidgo kwenye biashara zangu japo ni ndogo bado nipata loss, alinipa kiasi cha fedha na wala ajanidai hadi sasa yapata miezi minne N.B pesa alizonisaidia ni ndogo mnoo kulinganisha ambazo mimi nimempatia.
 
Ila na mimi....[emoji854][emoji6]
kelphin kepph hii kitu inaitwa Pesa inaharibu sana ndoa...cha muhimu ni kuhakikisha mume na mke muwe same team inapokuja suala la mapato na matumizi kwenye familia....

Sio ile ya mimi zangu na wewe zako....mkijiwekea hela ni zenu wote, hata siku mkiishiwa...mtakuwa wawili kwenye Stress na mtafarijiana jinsi ya kutoka huko....

Tatizo linakuja wengi wetu hatupendi kuunganisha vipato vyetu, kugawana majukumu na bila kusahau kuongelea jinsi ya kusaidiana kujiendeleza huko mbeleni.

Babe i love u @Rowin
 
Back
Top Bottom