Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.

Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun

Hivi kabla ya kuoa hamfundishwagi kukaa na wanawake? Kweli uchawi Upo!
 
Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
wewe ni fala
 
Kwa mtu unayemmiliki kihalali huko kumchunguza chunguza ndio inatakiwa sasa.

Na wenye ndoa zilizo na misingi watakushangaa sana wakisikia mkeo anaondoka nyumbani bila ridhaa yako halafu unakutana naye humuulizi wala nini zaidi ya kumpa hiyo unayosema sijui hi. LOL.

Jiangalieni kwa kweli.

Uku ndo panakufaa achana na utoporo[emoji16]
 
Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
Wewe ni mpumbavu ..... Unakutana na mkeo kwenye kona za mitaani unashindwa kumuuliza anaenda wapi?
Alafu na mkeo nae anakutana na wewe anakupa hai alafu anaendelea na mambo yake ina maana yeye ndio kakuoa sasa!
 
Usilale kabla hujakoment
 
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.

Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun
Amna unaenda nae wote mkaliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!

Yaani mke wangu atoke nyumbani bila kunijulisha anaenda wapi!!?unaishi sayari gani mkuu?


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom