Darcityconfidential
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 351
- 367
Pongezi kwa moyo ulionao, kuishi na mwanamke ambae akitoka kuchepuka unagundua na maisha yanaendelea kama kawaida.
Ndoa ni ngumu sana aisee
Ndoa ni ngumu sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.
Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun
Kwa hyo unanshaur nin mkuu??
Kama tayari huwa unagundua mkeo akitoka kuchepuka na maisha yanaendelea fresh tu mimi sio mtu sahihi wa kukupa ushauri.Unanshaurije mkuu??
Mapenzi jamani hayana baunsa😂Hujakua bado.kama mkeo unashindwa kumdhibiti wewe ni MUME BWEGE
unamiaka mingapi?naona vijana siku hizi hamjui nini maana ya kuwa mume
Hujakua bado.kama mkeo unashindwa kumdhibiti wewe ni MUME BWEGE
wewe ni falaKisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
Kwa mtu unayemmiliki kihalali huko kumchunguza chunguza ndio inatakiwa sasa.
Na wenye ndoa zilizo na misingi watakushangaa sana wakisikia mkeo anaondoka nyumbani bila ridhaa yako halafu unakutana naye humuulizi wala nini zaidi ya kumpa hiyo unayosema sijui hi. LOL.
Jiangalieni kwa kweli.
Wewe ni mpumbavu ..... Unakutana na mkeo kwenye kona za mitaani unashindwa kumuuliza anaenda wapi?Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
Amna unaenda nae wote mkaliweSiku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.
Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun
Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!