Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Hivi mkeo ukikutana naye njiani ukahisi anaenda kuchepuka unaweza ukamrudisha?

Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
Inaonekana huna sauti mbele ya mkeo, means mkeo anakuendesha kidizain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.

Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun
Unawezaje kurudi nyumbani na kumwacha mke atoke bila kujua anaenda wapi?
Ungemuuliza anakoenda na kujua ulazima Wa hiyo safari.
Wewe ndio uamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.

Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun


Umefanya vizuri kutomrudisha, alikwenda kufurahisha moyo wake....na wewe tafuta mnyonge wako.
 
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezin,nilipoamua nirud nyumban kwenye kona furan iv nikakutana na wife tukapeana hai baadae akaendelea na mishe zake,ila moyo nkawa nafkiria kuwa ameenda kuliwa,lakn nilishindwa kumurudisha.

Nilipofka hom nilisubr takriban masaa manne ndo akarud na alionesha dalil zote za kuliwa!!! swali langu ni je ningemrudisha tulipokutana??? na ningetumia kigezo gan?? karibun
Aisee wew jamaa ni kiazi.. Tena kiazi ambacho hakijakomaa aisee
 
Kisa hik ni cha kwel kabisa!!Mkuu hata skumuuliza kuwa anaenda wap!!! si unajua kuwa ukimuuliza utaonekana kama unamfuatilia na kumchunguza chunguza,,, ila baada ya kuachana nae ndo akil akanijia kuwa ningemuuliza,lakn nilikuwa nshachelewa,na nilibak na hasira zangu tu!!
Ungepiga simu baada ya saa
 
Back
Top Bottom