Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kuna huu unaitwa mlenda wa kienyeji. Watu wanatumia majani na wengine maua ya kukaushwa. Hivi hii mboga ina virutubisho vyovyote?

Mlenda kienyeji.jpg
 
Kabla ya yote hiyo ndio TIBA namba 1 ya VIDONDA VYA TUMBO, bamia la tshs 300 lililoungwa na magadi ya Tsh 100 ukipenda unaongeza na nyanya chungu tiba kubwa ya vidonda vya tumbo.

Kama wewe unaumwa au nduguyo anaumwa
ale ugari na mlenda mchana kwa kipimo hicho kisha ashushie na glasi 1 ya juisi fresh ya parachichi.
Ninakuhakikishia 100% anapata NAFUU papo hapo baada kumaliza huo mlo na kinywaji hicho
na akila hivyo bila kuacha kwa muda wa wiki 1 mpaka 2 huku kila siku usiku au asubuhi akinywa glasi 1 ya maji yaliochanganywa na magadi ya tshs 100 pakti 1 anapona kabisa.
 
Yes hasa wa bamia ule, inasaidia sana, hata ukikata bamia na kuloeka kwa maji then unywe unasaidia sana kule ukavu kunakuwa wet, pia kwenye joints za mwili na ule Ute ute na wanawake inasaidia kutokuchanika.
Acha utani, hiyo sidhani kama ni halisia ingekuwa hivyo pale Singida na Manyara mabinti wengi wangekuwa na utelezi sana maana kwa kula bamia wanaongoza
 
Mkuu hii kitu kitaalamu inaitwa corchorus olitorius ina advantages nyingi sana.

Maelezo haya chini ni kwa mujibu wa google

Olitorius is a very good source of proteins, vitamins (A, C, E) and is also rich in mineral nutrients like calcium and iron [27,41, 42] potassium, copper, manganese and zinc [42]. In addition it is known to contain high levels of iron and folate which are useful in preventing anaemia.

Kula mlenda mkuu lakini usiwe mlenda!!!
 
Mlenda una bamia..majani ya boga, magadi, karanga...
Bamia, majani ya boga-vitamin kama yote
Magadi- minerals zakutosha
Karanga- vitamin, protein, mafuta
Labda kama unaswali lingine.
 
kwanza futa hii statement kwa title yako "au watu wanakula ili wasife" hili ni tusi kwa hii mboga mkuu...😂...temana na mlenda kabisa,uupate na dagaa wa kukaanga au samaki...😋
Sema ukishaweka dagaa na samaki tayari inakuwa kitu kingine. Nazungumzia ule wa maua au majani ya porini yaliyokaushwa.
 
kabla ya yote hiyo ndio TIBA namba 1 ya VIDONDA VYA TUMBO
bamia la 300 lililoungwa na magadi ya tsh 100 ni au ukipenda unaongeza na nyanya chungu tiba kubwa ya vidonda vya tumbo
kama wewe unaumwa au nduguyo anaumwa Ale ugari na mlenda mchana kwa kipimo hicho kisha ashushie na glasi 1 juisi fresh ya parachichi
Ninakuhakikishia 100% anapata NAFUU hapo hapo baada kumaliza huo mlo na kinywaji hicho
na akila hvyo bira kuacha kwa muda wa wiki 1 mpk 2 huku kila usiku au asubuhi akinywa glasi 1 ya maji yalichanganywa na magadi
Anapona kabisa
Hii naweza kUkubaliana na wewe na inawezekana kabisa, maana magadi ni ant-acid. Yanakata acid tumboni inayochoma vidonda na kuvipa nafasi ya kupona.
 
Back
Top Bottom