Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Nenda dukani kwa mangi nunua magadi pakti shi 100
wewe ukifika dukani mwambie mangi nipe magadi ya tshs 100
kama unaishi ushuani masaki pole sana
inakupasa ufunge safari mpaka TANDALE KWA MTOGHOLE dukani kwa mpemba
unakijua kisa cha mpemba kilichotokea TABATA basi huyo mpemba dukani kwake anauza hayo magadi kwa tshs 100
MADEBOOOO
Jamaaa unazingua Sana yaaan unavyoueleza mlenda utadhan kitu Cha kutisha Sana hakipatikan bongonyoso Kuna chumvi ya mawe
 
Hiyo kitu watu wanakulaga kushiba tu.
Hakuna cha virutubisho vyovyote hapo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti wanakula ili wasife.

Hakuna chakula kisichokuwa na kirutubisho chochote, walau hata kwa uchache.
 
Mboga ya kimaskini sana
Hujitambui, yawezekana hujasoma na husomi dunia inafanya tafiti ngapi kuhusu maajabu ya mlenda.
Mlenda una mahusiano makubwa na kudumaza malaria parasite. Achana na alkalinity molecules zinavyo neutralize acidic stomach.
Toa ujinga kwanza ndiyo usema Fulani masikini.
 
Mkuu huu wa Dar wa bamia mimi naona ni kama wamefoji jina tu. Mimi tangu zamani najua mlenda ni ule unaopatikana Singida, Dodoma etc na wakati mwingine unasagwa na kukaushwa. Au pengine nakosea!
Na ndiyo maana nimeulizia ule wa asili. Wanachuma majani au maua fulani na kuyakausha. Huu wa Dar ni Bamia tu.
 
Haitibu mkuu

Ila tiba ya UTI sugu ipo ila kwanza ni mpk uende HOSPTALI kubwa ya serikali ya WILAYA au mkoa if possible MUHIMBILI uonane na SPECIALIST ufanyiwe kipimo cha URINE CULTURE na kipimo cha FULL BLOOD PICTUTER na ULTRA SOUND ikiwezekana na urethrogram kisha lete majibu nitakuelekeza dawa safi kabisa mujarabu utapona kabisa
Nilienda Hospital moja mwanza inaitwa CF nikapimwa kojo...nikaambiwa pus cells above 60
nilipewa Erythromycin nikabonda siku saba hamna kitu mzee kwenye kukojoa kitu inawasha mbaya.....afu napata penile discharge mala clear mara kijan mara kama usaha fulani duuuh....kikazi nikaenda Dar nikapita kairuki nikapimwa tena kojo na damu wakasema STDs ni neal ila na m UTI wa hatari nikapewa Azithromycin(Azuma) nikabonda siku sita hamna kitu aisee😭😭....mpaka nimepanga nianze kubonda mitishamba...
 
Hiyo kitu watu wanakulaga kushiba tu.
Hakuna cha virutubisho vyovyote hapo.
mlenda unapikwa kwa

bamia
mboga za maboga
mafuta ya kupikia
vitunguu
karanga au nazi


sasa kama hivyo havina virutubisho labda

lakini aliyekosea ni aliyeupa jina,kwanini sasa aite mlenda?

ukienda 5 star hotel huu unaitwa slippery Japanese sauce na unauziwa dola 10 per portion
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti wanakula ili wasife.

Hakuna chakula kisichokuwa na kirutubisho chochote, walau hata kwa uchache.
Nilishangaa kusoma sehemu kuwa majani ya nyanya chungu yana virutubisho kuliko tunda tunalopika. Kuna haja ya kutafiti nutritional values za vyakula vyetu.
 
Nilienda Hospital moja mwanza inaitwa CF nikapimwa kojo...nikaambiwa pus cells above 60
nilipewa Erythromycin nikabonda siku saba hamna kitu mzee kwenye kukojoa kitu inawasha mbaya.....afu napata penile discharge mala clear mara kijan mara kama usaha fulani duuuh....kikazi nikaenda Dar nikapita kairuki nikapimwa tena kojo na damu wakasema STDs ni neal ila na m UTI wa hatari nikapewa Azithromycin(Azuma) nikabonda siku sita hamna kitu aisee😭😭....mpaka nimepanga nianze kubonda mitishamba...
Pengine dozi ya Azuma ulivyoitumia. Dozi nzuri piga 2g mara moja. Ukichanganya na Cefixime inakuwa nzuri zaidi. Au pengine ni Trichomoniasis(japo si rahisi sana) ambayo dawa yake si hizo bali ni Flagly.
 
Pengine dozi ya Azuma ulivyoitumia. Dozi nzuri piga 2g mara moja. Ukichanganya na Cefixime inakuwa nzuri zaidi. Au pengine ni Trichomoniasis(japo si rahisi sana) ambayo dawa yake si hizo bali ni Flagly.
Azuma niliambiwa kimoja kwa siku kiukweli nikizingatia nikapewa vipakti viwili nimebonda siku sita aiseee sasa sijui nilibugi wapi.Cefixime nakunywa pamoja na azuma au?....Hiyo Tricho ni kitu gani tena bwana mjuvi?....pia mm ni victim mkubwa sana wa mabao ya mkono hii haiwezi ikawa sababu labda?
 
Azuma niliambiwa kimoja kwa siku kiukweli nikizingatia nikapewa vipakti viwili nimebonda siku sita aiseee sasa sijui nilibugi wapi.Cefixime nakunywa pamoja na azuma au?....Hiyo Tricho ni kitu gani tena bwana mjuvi?....pia mm ni victim mkubwa sana wa mabao ya mkono hii haiwezi ikawa sababu labda?
Hahaaa😀. Dozi ya siku moja moja haifai. Unapiga na cefixime 400mg pamoja au unaweza tentanisha masaa nane.

Tricho ni STD ambayol inaweza kuwa na dalili kama Gono lakini haisababishwi na bakteria bali, wadudu wa Trichomoniasis(Protozoa) na dawa yake ni flagyl. Ishu ya mkono haihusiki.
 
Nilienda Hospital moja mwanza inaitwa CF nikapimwa kojo...nikaambiwa pus cells above 60
nilipewa Erythromycin nikabonda siku saba hamna kitu mzee kwenye kukojoa kitu inawasha mbaya.....afu napata penile discharge mala clear mara kijan mara kama usaha fulani duuuh....kikazi nikaenda Dar nikapita kairuki nikapimwa tena kojo na damu wakasema STDs ni neal ila na m UTI wa hatari nikapewa Azithromycin(Azuma) nikabonda siku sita hamna kitu aisee[emoji24][emoji24]....mpaka nimepanga nianze kubonda mitishamba...
Vizuri fanya kila hila nenda MUHIMBIRI uonane na SPECIALIST
kikubwa usikubari kutumia dawa ikiwa awajakuambia nini tatizo kwa kufanya uchunguzi shida nini
inaonesha upo katika CONDITION mbaya
fanye uende MUHIMBIRI uonane na SPECIALIST ili akuoe dawa stahiki na aina ya bacteria wanaokushambulia

HAKUNA U.T.I sugu kilichopo ni USUGU wa dawa kutokana na matumizi mabovu mabaya ya dawa za kiANTBIOTIC ndicho kilichokukumba wewe sasa kabla ujaharibu kabisa FIGO
fanya ufike MUHIMBIRI

usugu wa dawa ni kutumia dawa za ANTIBIOTICS bila kufahamu dawa unayotumia ina uwezo wa kuteketeza Bactreria au FUNGAL wanaokusumbua
hali hiyo ikiendelea sana inakuletea shida baadae unapokuwa na bacteria ambao hawawezi kuangamizwa tena na dawa iliozoeleka au elekezi hivyo upelekea bacteria kuwa SUGU hawauliwi tena na dawa iliozoeleka so inapelkea gharama ya matibabu kuwa kubwa au mgonjwa kupata matatizo makubwa mpk kwenye figo hivyo hupelekea kifo

nawahasa sana ndugu janga la U.T.I sasa limekuwa mzigo kwa taifa na mtaji wa wenye HOSPITAL binafsi
hvyo jali afya yako mwenyewe sana si kila U.T.I inahitaji dawa mambo mengine ni kujitahidi kuepuka na kuchukua tahadhari
utumiaji wa dawa kiholela ni hatari kwa taswira ya AFYA yako
jitahidi kujikinga kadri uwezavyo
U.T.I nyingi now day zinaambukizwa kwa njia ya NGONO haswa wanaume 80% wanapata maambukizi ya fangasi/bacteria toka kwa wapenzi wao hvyo jitahidini kulinda afya zenu

Jitahidini unapohisi maambukizi ya U.T.I kwa mara ya kwanza acha kwanza kusex na mpenz/mke
tumia juisi ya miwa glass 1changanya na ndimu 2 unakunywa wakati wa kulala
au au tumia maji ya madafu changanya na ndimu 2 mara mbili kwa siku jioni na asubuhi
madafu yapo sana kkoo kwa tshs 500 tu

ukiona hali inazidi nenda hosptari upime kwanza kipimo cha elf 3 hakikisha ni DIGITAL na akuoneshe majibu ya sampe ya mkojo uone mfan:-
Color(rangi ya mkojo – Yellow (light/pale to dark/deep amber)
Clarity/turbidity – Clear or cloudy
kiasi cha pH kati ya 4.5 mpk 8
Specific gravity
kiasi cha Glucose - ≤130 mg/d
Ketones
Nitrites
Leukocyte esterase nk

ili kujua shida inaanzia wapi mana wkt mwingine hasa kwa wanawake protini ikizidi mwilini ukienda kwa hawa maCO akamwandikia sindano badala kumuuliza yupo katika siku gani mara baada ya kupata siku
mana kwa wanawake kipindi cha nyege sana zile siku za hatari za kudaka mimba
Uzarishaji wa protini uongezeka sana sasa akijisikia homahoma akaenda hospital akapimwa mkojo lazima aonekane ana U.T.I sasa ukimchoma sindano za Ceftriaxone maarufu POWERSAFE unamuumiza unamtengenezea usugu wa dawa baadae
wakati ilipaswa umshauri namna ya kuepuka hiyio tabu na tiba si nyingine zaidi anahitajika apate MKUYENGE kupunguza hizo protini naam atafute RUNGU alioshe kuondoa hizo stress
 
Back
Top Bottom