Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Hivi mlenda una virutubisho vyovyote au watu wanakula ili wasife?

Napenda sana mlenda na una faida nyingi mwilini kuliko unavyodhani, pia kwa wanawake wakavu inasaidia sana kule ikulu
cariha na members wengine. Mimi huwa natatizika. Mlenda hasa ni nini? Kuna wakati nilienda Singida vijijini, nikakuta wanachuma mboga fulani ambazo ukipika zinateleza wanaziita mlenda. Na wakati mwingine huwa wanazikausha na kuhifadhi lakini wakati wa kupika zinanakuwa mtelezo. Hivyo mimi nikawa naamini kuwa mlenda ni zile mboga. Kuja Dar nikakuta wanakatakata bamia na kuzichemsha na kuita ni mlenda. Mlenda ni nini hasa? Ni ule unaochumwa Singida na Dodoma au ni huu wa Dar au ni vyote? BTW hiyo faida uliyotaja kwenye sex itafanya hii thread ifikie page hata elfu kwa muda mfupi. Kijana wa kitanzania yeye mjadala wa sex hasa unaoongelea mwanamke ni kama lulu kwake.
 
Sema ukishaweka dagaa na samaki tayari inakuwa kitu kingine. Nazungumzia ule wa maua au majani ya porini yaliyokaushwa.
Mkuu huu wa Dar wa bamia mimi naona ni kama wamefoji jina tu. Mimi tangu zamani najua mlenda ni ule unaopatikana Singida, Dodoma etc na wakati mwingine unasagwa na kukaushwa. Au pengine nakosea!
 
cariha na members wengine. Mimi huwa natatizika. Mlenda hasa ni nini? Kuna wakati nilienda Singida vijijini, nikakuta wanachuma mboga fulani ambazo ukipika zinateleza wanaziita mlenda. Na wakati mwingine huwa wanazikausha na kuhifadhi lakini wakati wa kupika zinanakuwa mtelezo. Hivyo mimi nikawa naamini kuwa mlenda ni zile mboga. Kuja Dar nikakuta wanakatakata bamia na kuzichemsha na kuita ni mlenda. Mlenda ni nini hasa? Ni ule unaochumwa Singida na Dodoma au ni huu wa Dar au ni vyote? BTW hiyo faida uliyotaja kwenye sex itafanya hii thread ifikie page hata elfu kwa muda mfupi. Kijana wa kitanzania yeye mjadala wa sex hasa unaoongelea mwanamke ni kama lulu kwake.
Vyote hivyo ulivotaja ni mlenda ila wa tofauti tofauti na hata bamia zikachaganywa na mboga za majani na magadi ni mlenda, huko Singida napo Kuna mlenda unakaushwa na kusagwa Ili kuhifadhiwa kule ni ukame huita sijui nsasa, pia Kuna huo mlenda ambao unachumwa mboga ni mdogo ukipikwa unatoa huo mlenda.
So Kuna aina nyingi za mlenda aisee
 
Mkuu huu wa Dar wa bamia mimi naona ni kama wamefoji jina tu. Mimi tangu zamani najua mlenda ni ule unaopatikana Singida, Dodoma etc na wakati mwingine unasagwa na kukaushwa. Au pengine nakosea!
Yes ila hata wa bamia na majani ya maboga nao ni aina mojawapo
 
Wewe ni mwanamke na ulishautumia huo mlenda ukaendelea kuwa mkavu?
Nimekuuliza wewe labda utakuwa mwanamke wa kipekee sana unautelezi kama bomba lililofunguliwa maji, wadada wengi tu nawafahamu ni watuamiaji wazuri wa hiyo milenda ila wana utelezi wa kawaida sio kama ambavyo unataka kuwaaminisha watu hapa.
 
Nimekuuliza wewe labda utakuwa mwanamke wa kipekee sana unautelezi kama bomba lililofunguliwa maji, wadada wengi tu nawafahamu ni watuamiaji wazuri wa hiyo milenda ila wana utelezi wa kawaida sio kama ambavyo unataka kuwaaminisha watu hapa.
Sawa basi nimedaganya huku kuhusu Bomba na utelezi wewe uko sahihi na hao wanawake zako mnaotumiaga hyo milenda ila mna utelezi wa kawaida tu
 
Sawa basi nimedaganya huku kuhusu Bomba na utelezi wewe uko sahihi na hao wanawake zako mnaotumiaga hyo milenda ila mna utelezi wa kawaida tu
Sawa madam utelezi…
 
Back
Top Bottom