Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Chumvi ya mawe hiyo ni tiba ya kitu kingine kama mpenzi wako ameanza kupunguza mapenzi na wewe au job kwako kwenye mishe ukionge ana boss au mteja awakuelewielewi basi nitakufundisha dawa kaa kutumia hiyo chumvi ya mawe mwanawane mambo yatakuwa tawile kabisaJamaaa unazingua Sana yaaan unavyoueleza mlenda utadhan kitu Cha kutisha Sana hakipatikan bongonyoso Kuna chumvi ya mawe