Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Chumvi ya mawe hiyo ni tiba ya kitu kingine kama mpenzi wako ameanza kupunguza mapenzi na wewe au job kwako kwenye mishe ukionge ana boss au mteja awakuelewielewi basi nitakufundisha dawa kaa kutumia hiyo chumvi ya mawe mwanawane mambo yatakuwa tawile kabisaJamaaa unazingua Sana yaaan unavyoueleza mlenda utadhan kitu Cha kutisha Sana hakipatikan bongonyoso Kuna chumvi ya mawe
Aah sijui mie kama ni utelezi viko vingi tu vyakuongezaMwenzako kasema zinaongeza utelezi, hiyo statement aliyotoa ina ukweli wowote ndani yake?
Nawezaje kutumia bro kiofisiChumvi ya mawe hiyo ni tiba ya kitu kingine kama mpenzi wako ameanza kupunguza mapenzi na wewe au job kwako kwenye mishe ukionge ana boss au mteja awakuelewielewi basi nitakufundisha dawa kaa kutumia hiyo chumvi ya mawe mwanawane mambo yatakuwa tawile kabisa
DihomboKwanza futa hii statement kwa title yako "au watu wanakula ili wasife" hili ni tusi kwa hii mboga mkuu...😂...temana na mlenda kabisa, uupate na dagaa wa kukaanga au samaki...😋
Uongo mtupu,kwaiyo ule utelezi wa bamia unaenda moja kwa moja kwenye uke!???? Ni uongo na upuuziYes hasa wa bamia ule, inasaidia sana, hata ukikata bamia na kuloeka kwa maji then unywe unasaidia sana kule ukavu kunakuwa wet, pia kwenye joints za mwili na ule Ute ute na wanawake inasaidia kutokuchanika.