Lungutz1
Member
- Jun 23, 2023
- 37
- 74
Wakubwa hapa leo najaribu kuelezea madhira tunayopitia vijana tunaojitafuta, tunapata mawazo mengi na kuchora mipango mingi sana ya mafanikio...
Ukifungua notebooks zetu utaona tumeandika mipango mingi ya kutoboa ila tunakosa jinsi ya kuanza.
Binafsi natamani kuwa na biashara flani ila kila nikijaribu kuanza nashindwa, muda ninao ila ninachokosa Ni (1) Rasilimali fedha (2) Rasilimali watu.
Yaani kwenye mitaji tunafeli sana, sometimes tunatamani hata kushikwa mkono na waliotangulia kufanikiwa lakini haiwezekani.
Huwa najiuliza kwanini waliofanikiwa wanakuwa na ugumu wa kumsaidia mtu kuanzisha project zake ila wapo tayari hela zao mkatumie wote kwenye starehe alafu akiachana na wewe baada ya bata hakuachii hata senti 5[emoji23][emoji23] atakununulia kitu ila sio kukupa fedha mkononi. Kuna siri gani hapo?
MASWALI MUHIMU
1. Hivi nyie mlifanikiwa vipi kuanza biashara zenu na zikaenda?
2. Hela(mtaji) mlipata wapi?
3. Siri ya kuwa mfanyabiashara ni ipi?
ASANTENI SANA[emoji120][emoji120]
Ukifungua notebooks zetu utaona tumeandika mipango mingi ya kutoboa ila tunakosa jinsi ya kuanza.
Binafsi natamani kuwa na biashara flani ila kila nikijaribu kuanza nashindwa, muda ninao ila ninachokosa Ni (1) Rasilimali fedha (2) Rasilimali watu.
Yaani kwenye mitaji tunafeli sana, sometimes tunatamani hata kushikwa mkono na waliotangulia kufanikiwa lakini haiwezekani.
Huwa najiuliza kwanini waliofanikiwa wanakuwa na ugumu wa kumsaidia mtu kuanzisha project zake ila wapo tayari hela zao mkatumie wote kwenye starehe alafu akiachana na wewe baada ya bata hakuachii hata senti 5[emoji23][emoji23] atakununulia kitu ila sio kukupa fedha mkononi. Kuna siri gani hapo?
MASWALI MUHIMU
1. Hivi nyie mlifanikiwa vipi kuanza biashara zenu na zikaenda?
2. Hela(mtaji) mlipata wapi?
3. Siri ya kuwa mfanyabiashara ni ipi?
ASANTENI SANA[emoji120][emoji120]