muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kujenga kunahitaji nia, nidhamu na kufunga mkonda, matumizi yako yawe yale muhimu tu, uachane na matako ya kina Sepetunga, na kujifanya kibopa kununulia watu mabia, unakomaa na hakikisha kila kifaa unanunua mwenyewe, unabana kila angle, hiyo kwa sisi wengine tuliojenga kwa vipato halali na tulio nyanyasika katika nyumba za kupanga.