Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Wakati unawaza hayo,jipoze na hii mkuu👇
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Anza kuwa cansel hao wanaotaka michango kwanza ndo utajenga. Pia kama una mke uwe unampuuza baadhi ya vitu anavyotaka
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Acha kuumiza kichwa mwamba, hela ya kujenga inakujaga tu yenyewe.

Endelea kusevu hela na kuongeza vyanzo vya kukuingizia mikwanja, utajenga tu.
 
Kwanini usikitike? Mbona malipo mengine ya kodi ni kama rejesho la mkopo? Mfano unalipa kodi 600,000 kwa mwezi kuna ubaya kuchukua mkopo ujenge na urejeshe mkopo 600,000 kila mwezi?
Ukichukua mkopo baada miaka kadhaa nyumba inakuwa yako. Ukipanga hata miaka 20 utaendelea kuwa mpangaji tu.
Sawa
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
fata njia zifuatazo:
1.kwanza fanya uamuzi kuwa unataka kujenga
2.tafuta kiwanja kwenye maeneo yanayolingana na kipato chako
3.Choresha ramani na peleka halmashauri ili iidhinishwe na ramani iwe nyumba ndogo tu ambayo utaimudu
4.Sasa anza kununua simenti kidogo kidogo,huku unatafuta fundi atakayekujengea
5.Ukifikisha mifuko 50 anza kutunza hela kwa ajili ya kujenga msingi.Sasa mpaka hapo utakuwa umepata uzoefu wa kujenga na utaendelea polepole hatima yake utamaliza
 
Back
Top Bottom