muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Umesahau Maji ya Upako kwa MwamposaMbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
Walipaswa kufanya nn mkuu? Toa mbinu na mbwinu mbadala.Kuna watu huwa wanakopa benki ili wajenge nyumba waache kulipa kodi, huwa nawasikitikia sana.
Wapi ambako unaweza kujenga bila pesa mkuu ili nikajenge hata gesti tuKila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Ulipotea wapi weweee Lucas's sweetheart?Kama hivi ndivyo vipaumbele vyako utachelewa sana
Ulivyoniibia simu yangu ulitegemea jf niingie kupitia nini?Ulipotea wapi weweee Lucas's sweetheart?
Maghayo ule mjengo wa pale Tel Aviv hujapigwa na missiles za Hezbollah?Ulipotea wapi weweee Lucas's sweetheart?
Mimi sina mbinu zaidi ya kupata maokoto nje ya kazi, ila sijawahi kufikiria kujenga nyumba ya kuishi kwa njia ya kukopa pesaWalipaswa kufanya nn mkuu? Toa mbinu na mbwinu mbadala.
Ndo ushangae Sasa,Mkuu,
Mbona sielewi..hauna rasilimali pesa unaanzaje ujenzi.
Aliongea point Sana, hii pia Hata mzee wangu aliwahi nambiakama dili unazofanya hazikuweki kwenye hatari ya kuozea jela wewe kufanikiwa bado sana
huu ushauri niligewa na kaka yangu
Bila shaka unamaanisha dili ziwe za kuuza mibangi, cocaine, kuendesha madanguro, wizi, n.k.kama dili unazofanya hazikuweki kwenye hatari ya kuozea jela wewe kufanikiwa bado sana
huu ushauri niligewa na kaka yangu
Hapa nimekuelewaNdo ushangae Sasa,
ukiwa nazo ndo ruti za kitambaa hazikatiki na huwazi maendeleo.
Zikikata ndo akili zinarejea na hasira za kudaiwa kodi zinakuhamasisha kuanza ujenzi😀