Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Kujenga kunahitaji nia, nidhamu na kufunga mkonda, matumizi yako yawe yale muhimu tu, uachane na matako ya kina Sepetunga, na kujifanya kibopa kununulia watu mabia, unakomaa na hakikisha kila kifaa unanunua mwenyewe, unabana kila angle, hiyo kwa sisi wengine tuliojenga kwa vipato halali na tulio nyanyasika katika nyumba za kupanga.
 
Umesahau Maji ya Upako kwa Mwamposa
 
Wapi ambako unaweza kujenga bila pesa mkuu ili nikajenge hata gesti tu
 
Maisha ni vita mpaka kaburini hivyo inatakiwa uipambanie vita hiyo ni pamoja na ujenzi sio rahisi kama unavyonifikiria watu wanacheza michezo ya hatari mpaka kuhatarisha maisha Yao ila ni Siri ya mtu moyoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…