Hivi mmesahau kuwa genge lenu lilichafua CCM na kiongozi aliyefariki akainusuru CCM uchaguzi wa mwaka 2015

Hivi mmesahau kuwa genge lenu lilichafua CCM na kiongozi aliyefariki akainusuru CCM uchaguzi wa mwaka 2015

Mliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusihwa kuzitenda.

Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.

Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.

Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Mbona kama mwendakuzimu ndiye failure kuliko wote kwa mtazamo wangu lakini
 
Mliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusihwa kuzitenda.

Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.

Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.

Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Kama kweli angekuwa na ubavu wa kuikoa CCM 2015 asingetumia nguvu kubwa 2020 kubaki madarakani, uchaguzi wa 2020 haukuwa uchaguzi bali uchafuzi inajulikana kama CCM mara zote wanaghushi matokeo lakini 2020 ilikuwa imetia fora maana si udanganyifu bali ni unyang'anyi.
 
Ndo maana hakitagusa Chochote Hata Ujumbe wa Serikali ya mtaa

Isitoshe KANDA PENDWA YA KWETU ILISHAMSAFISHA
AU HAUAMINI SABUNI ALIYOTUMIA MBOWE??

Huku umepotea njia viroja watakaodai ni hoja Chatto au Makunduchi.

Huku holaaaa!
 
Mleta mada ni Msukuma wa darasa la saba. 2015 aliingizwa mjinga mchawi mwizi na shetani full stop. Never and never again those sukuma fools.!
 
Huku umepotea njia viroja watakaodai ni hoja Chatto au Makunduchi.

Huku holaaaa!
Ni ngumu sana kuiona Hoja Wakati JPM alikutemesha kazi-Vyeti Feki
Kwa Sasa tunavumiliana tu unapotapika hivyo,
Inajulikana
 
Wa kumuuliza ni wewe unayechanganya Madesa!!! Kwa faida ya Gaidi

Maana wenye Uelewa wanafahamu what happened

Na wanafahamu baada ya hizo kuuzwa ngapi zilijengwa kulinganisha na zilizouzwa

Unapaswa kuitendea HAKI NAFSI YAKO MAANA VITU VINGINE VINAEPUKIKA
Mkuu wajua pamoja na uduni wa akili yako lakini ungesimamishwa na Jiwe ungeshinda pia, Jiwe alikuwa hakubaliki kabisa na ndiyo maana waliiba kura,
 
Jamani ni miezi 6 tu...
Punguzeni kiherehere...
 
Ni ngumu sana kuiona Hoja Wakati JPM alikutemesha kazi-Vyeti Feki
Kwa Sasa tunavumiliana tu unapotapika hivyo,
Inajulikana

Si ukamfufue au ukaungane naye huko kwenye uongozi wa malaika?

Au hujui Gwajiboy ndiye mfufuaji mkuu?
 
Mliichafua Ccm kwa kashfa nzito amabazo mlihusishwa kuzitenda.

Mlihusishwa na kashfa za kila namna kuanzia Escrow, Lugumi Kagoda na kila aina ya ufisadi uliotokea.

Mwaka 2015 Ccm ilichafuka kwa sababu ya uchafu na ufisadi mliouzoea. Ndipo ikaonekana kiongozi aliyefariki angalau asimame ili kukinusuru chama cha CCM. Kweli aliposimama Ccm ikapata ushindi na akasafisha chama na serikali. Matokeo chanya yakaonekana.

Leo hii mmesahau kuwa huko nyuma mlishawahi kukichafua chama chenu cha Ccm. Na mmeanza mikakati mibaya sana.
Yaani hata kwenye mitandao huwezi kuongea kwa uwazi. Hizi ni porojo kama huwezi kutaja watu unao waongelea
 
Kikwete anamuhadaa Sana mama huku akijua umaarufu wake uliporomoka Sana hakuwa na ushawishi wowote kwa wananchi,ilimulazimu mwendazake kutumia muda mwingi Sana kwenye kampeni akijipambanua yeye atakuwa tofauti na uozo uliokuwepo.

Leo JK anajiona superstar wa kutoa maelekezo ambayo yeye mwenyewe yalimshinda,wana CCM wakamwimbia tunaimani na Lowassa. Asante Mkapa kwa ubabe wake alimunusuru JK na aibu ya Karne.
 
Si ukamfufue au ukaungane naye huko kwenye uongozi wa malaika?

Au hujui Gwajiboy ndiye mfungiaji mkuu?
Kwenda Huko ni zamu kwa zamu
Mimi siku yangu Ikifika nitakwenda
NAAMINI WEWE FAMILIA YENU HAYA HAYATOKEI MAANA MUNGU NI MJOMBA WAKO
 
Baraza la mawaziri ndo lilitoa ridhaa ya kuwauzia Nyumba mahawala wa jiwe?
Ni kama tu Mbowe alivyokuwa anagawa Ubunge Viti Maalum kwa akina MUNKYA, LISSU NA DADA MTU
Haya maisha tu ndugu yangu utafanyaje sasa
 
Kikwete anamuhadaa Sana mama huku akijua umaarufu wake uliporomoka Sana hakuwa na ushawishi wowote kwa wananchi,ilimulazimu mwendazake kutumia muda mwingi Sana kwenye kampeni akijipambanua yeye atakuwa tofauti na uozo uliokuwepo.

Leo JK anajiona superstar wa kutoa maelekezo ambayo yeye mwenyewe yalimshinda,wana CCM wakamwimbia tunaimani na Lowassa. Asante Mkapa kwa ubabe wake alimunusuru JK na aibu ya Karne.
Mkapa na john walitufanyia dhambi kubwa ndio maana Mungu aliingilia kati
 
Ni kama tu Mbowe alivyokuwa anagawa Ubunge Viti Maalum kwa akina MUNKYA, LISSU NA DADA MTU
Haya maisha tu ndugu yangu utafanyaje sasa
Sasa tulieni na wenzenu wale maisha . mnabweka nini ?
 
Kwenda Huko ni zamu kwa zamu
Mimi siku yangu Ikifika nitakwenda
NAAMINI WEWE FAMILIA YENU HAYA HAYATOKEI MAANA MUNGU NI MJOMBA WAKO

Angekuwa Mungu si mjomba wenu Ben, Azory, Mawazo na wale wa kwenye viroba wangekuwapo hai.

Kwa hakika hata jaribio kwenye maisha ya Lissu lisingekuwapo.

Busara hata kidogo hamna, wala msijifanye kuwa mnayo hata chembe.

Waliowafikisha kina Adamoo na Ling'wenya hapa:

IMG_20210925_211919_345.jpg


kama si wapwa wa Mola mwenyewe, kwa hakika ni wapumbavu kweri kweri bila kum exempt aliye watuma.
 
Back
Top Bottom