Hivi mnafanyaje kuishi na mtu anayenuna?

Atakuwa amewasikia wakati mnamsengenya! Wanaume kama mabinti, mnakaa kusengenyana?
 
Ana stress nyingi zinamsumbua wala hazihusiani na nyie
 
Amegundua kuwa "nyie sio type yake" ndio maana anajitenga nanyi. Hapo mwanzoni mlikuwa bado hamjajuana vema, ila sasa mmejuana na kila mmoja achukue 50 zake..
 
Usihangaike na shida za mtu, kama hujamkosea ya nini unamuwazia?
Angalia mambo yako, achana nae, kuanza kumtetemekea ni ujinga.
Mlambeni buyu halafu msishirikiane nae, hata salamu kausheni.
 
Mi hapa jirani kuna mdada alikua hv hv daah kumbe bana ni genye sijui..
Wenzake wote wanasema et nimpige miti ila me NOOOOO NOOOO nina misimamo yangi ya semen retention
 
Jifunze ku master the law of detachment itakusaidiq sana.
 
Mtengeni, lazima atajirudi na ataacha kuwanunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ