Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo?Baadae sasa jion narud nyumban nikapewa masink ya kichwa na baadhi ya manundaaa
Acha tu ni stoy ndefuuuMkuu upo?
Hajambo mumeo?
Hivi unamkumbuka Mwifwa japo kwa salamu au Mshana kazifuta kumbukumbu?
Walimu mbona wamekoma? Mimi Mwalimu kunichapa alikuwa aniombe Na nijipangie fimbo za kuchapwa.Na wewe waonekana ulikua kakorofi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aseeh nimekumbuka mbali sana au upo ubaoni unaandika ujinga ujinga na kuact sauti ya mwl. ghafla huuyoo mwl. Mlangoni hapo utaanza kulia mwenyewe ghafla kabla ya adhabu [emoji16] [emoji16] [emoji16] .Kuna katukio kalikua kanatokea sana enzi za shule ya msingi
Aisee maana hakuna kitu kilikua kinauma kama umetoka darasani kwako ukaenda darasa lingine kuongea na rafiki zako au kupiga umbea,alafu ghafla unasikia "HAYA DARASA ZIMA LALA CHINI..MONITOR KANILETEE FIMBO KWENYE MEZA YANGU"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] utatamani uwe nzi viboko visikupate..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] Aseeh nimekumbuka mbali sana au upo ubaoni unaandika ujinga ujinga na kuact sauti ya mwl. ghafla huuyoo mwl. Mlangoni hapo utaanza kulia mwenyewe ghafla kabla ya adhabu [emoji16] [emoji16] [emoji16] .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani wewe too much..khaaaa!!Walimu mbona wamekoma? Mimi Mwalimu kunichapa alikuwa aniombe Na nijipangie fimbo za kuchapwa.
Nilikuwa nunda kweli kweli.
Kuna siku niliandika kibao kwa sign artist "SHULE IMEUZWA NA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA, RUDINI NYUMBANI MPAKA MTAKAPO PANGIWA SHULE NYINGINE ZA WAZAZI BARUA MTATUMIWA KWA POSTA"
Nikaenda shule mapema sana, nikabandika bango hilo maintenance.
Wanafunzi walirudi nyumbani Na ikaleta sintofahamu kubwa sana.
Ilichukua miezi kadhaa kuwa ni mimi ndiye niliye Fanya hujuma hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au mnapewa adhabu ya kunyanyua miguu juu kichwa chin, miguu inakuwa ukutani,adhabu hii ilikuwa inawatesa zaidi wasichana maana wasipobana sketi zinawafunika kichwa halafu ikulu zinabaki wazi loh na hapo ndio unapoona chupi zenye viraka jamani.
Hatari mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka enzi zile kulikua na mwalimu mmoja alikua na mdomo kama lile tangazo la chai jaba..sisi tena wanafunzi tukamtunga jina la mwalimu Chaichaba ndio likawa jina lake kuu haswa siku moja akamtuma mwanafunzi mwenzetu atuite nakumbuka ulikua wakati wa kufanya mitihani..sasa si wajua kipindi kile tunakua ile ovyoovyo wenye kucheza mpira wenye kucheka mdako au rede..yule mwanafunzi akaambiwa ita wanafunzi wenzako niwape mitihani yenu...yule mwenzetu asijisahau nini! "Nyie mnaitwa na mwalimu chaijaba" mbaya zaidi huyo mwalimu hakua mbali na yule mwanafunzi kwahiyo alisikia alichokiongea yule mwanafunzi..kengele ya mstarini ikapigwa..KILICHOFUATA HAPO..[emoji23][emoji23]ngoja ninywe chai nitakuja kukuambiaHatari mkuu
Na ilikuwa inapendeza sana, lile darasa uliloenda kupiga umbea kuna ki girl au boy chako, na anakujua unavoogopa fimbo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo ndo utajua kwann maharage mboga ya taifaaa
Ha ha ha ha ha tena unywe chai jaba kilele cha ubora na ni chaguo la watanzania teh teh nakusubiri kwa hamu mkuu.Nakumbuka enzi zile kulikua na mwalimu mmoja alikua na mdomo kama lile tangazo la chai jaba..sisi tena wanafunzi tukamtunga jina la mwalimu Chaichaba ndio likawa jina lake kuu haswa siku moja akamtuma mwanafunzi mwenzetu atuite nakumbuka ulikua wakati wa kufanya mitihani..sasa si wajua kipindi kile tunakua ile ovyoovyo wenye kucheza mpira wenye kucheka mdako au rede..yule mwanafunzi akaambiwa ita wanafunzi wenzako niwape mitihani yenu...yule mwenzetu asijisahau nini! "Nyie mnaitwa na mwalimu chaijaba" mbaya zaidi huyo mwalimu hakua mbali na yule mwanafunzi kwahiyo alisikia alichokiongea yule mwanafunzi..kengele ya mstarini ikapigwa..KILICHOFUATA HAPO..[emoji23][emoji23]ngoja ninywe chai nitakuja kukuambia
Ulikuwa noma! Mkuu mwanao akifanya hayo leo utamfanyaje?Walimu mbona wamekoma? Mimi Mwalimu kunichapa alikuwa aniombe Na nijipangie fimbo za kuchapwa.
Nilikuwa nunda kweli kweli.
Kuna siku niliandika kibao kwa sign artist "SHULE IMEUZWA NA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA, RUDINI NYUMBANI MPAKA MTAKAPO PANGIWA SHULE NYINGINE ZA WAZAZI BARUA MTATUMIWA KWA POSTA"
Nikaenda shule mapema sana, nikabandika bango hilo maintenance.
Wanafunzi walirudi nyumbani Na ikaleta sintofahamu kubwa sana.
Ilichukua miezi kadhaa kuwa ni mimi ndiye niliye Fanya hujuma hiyo
Nawaombea sana watoto wangu wasifuate roho iliyokuwa inanutumikisha hivyoUlikuwa noma! Mkuu mwanao akifanya hayo leo utamfanyaje?
Mimi bora unipige kuliko kufyeka