Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Wewee.....mi fimbo hapana nafuu hata kufyeka nimiss vipindi...nikimaliza kufyeka break time...
Mimi bora unipige kuliko kufyeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi bora unipige kuliko kufyeka
Eeee Yesu wa Nazareti, Mungu wangu!!!!!Haijawah kunikuta
Mimi nilikuwa naishia dirishan wakat huo nipo darsa la tano namfukuzia mschana wa darsa la sita.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna katukio kalikua kanatokea sana enzi za shule ya msingi
Aisee maana hakuna kitu kilikua kinauma kama umetoka darasani kwako ukaenda darasa lingine kuongea na rafiki zako au kupiga umbea,alafu ghafla unasikia "HAYA DARASA ZIMA LALA CHINI..MONITOR KANILETEE FIMBO KWENYE MEZA YANGU"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] utatamani uwe nzi viboko visikupate..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hiiShule kuna matukio ya kufurahisha sana.
Na ile ya kuweka mandazi kwenye sport ile tuliyokuwa tunaweka madaftari kama begi[emoji23][emoji23]
Watoto wa zama hizi hawajui haya wanajua mabegi tu
Bila kusahau kengele ya saa nne kukimbilia kununua bagia [emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo ndo zile purukushani za kujaladia madaftari kwenye sketi na kaptula zinaanza huhuhuhuhu aiseee alafu mnachapwa mikononi
Hahaahahah walikufanyajeWalimu mbona wamekoma? Mimi Mwalimu kunichapa alikuwa aniombe Na nijipangie fimbo za kuchapwa.
Nilikuwa nunda kweli kweli.
Kuna siku niliandika kibao kwa sign artist "SHULE IMEUZWA NA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA, RUDINI NYUMBANI MPAKA MTAKAPO PANGIWA SHULE NYINGINE ZA WAZAZI BARUA MTATUMIWA KWA POSTA"
Nikaenda shule mapema sana, nikabandika bango hilo maintenance.
Wanafunzi walirudi nyumbani Na ikaleta sintofahamu kubwa sana.
Ilichukua miezi kadhaa kuwa ni mimi ndiye niliye Fanya hujuma hiyo
Watanifanya nini sasa? Darasani nilikuwa mkali Na nilikuwa nawaambia walimu mimi sistahili kusoma shule yao iko below my levels, Na nilikuwa nawaomba wanufukuze shuleHahaahahah walikufanyaje
Duh Bujibuji ulikuwa balaa.Watanifanya nini sasa? Darasani nilikuwa mkali Na nilikuwa nawaambia walimu mimi sistahili kusoma shule yao iko below my levels, Na nilikuwa nawaomba wanufukuze shule
Pole sanaDuh Bujibuji ulikuwa balaa.
Nakumbuka nipo darasa la sita tukapoteza kitabu kimoja tukaambiwa tuchange sh 100 kila mwanafunzi tununue kitabu. Siku ya kwanza nikaikosa 100 mwalimu akatuita mbele.
Yaan kuna watu wanajua kupiga hasa left handed, fimbo moja tu unahisi kifo nilipigwa nne sikwenda tena shule mpaka nilipoipata hela.
Duu mkuu ulikuwa nunda kwelikweliWalimu mbona wamekoma? Mimi Mwalimu kunichapa alikuwa aniombe Na nijipangie fimbo za kuchapwa.
Nilikuwa nunda kweli kweli.
Kuna siku niliandika kibao kwa sign artist "SHULE IMEUZWA NA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA, RUDINI NYUMBANI MPAKA MTAKAPO PANGIWA SHULE NYINGINE ZA WAZAZI BARUA MTATUMIWA KWA POSTA"
Nikaenda shule mapema sana, nikabandika bango hilo maintenance.
Wanafunzi walirudi nyumbani Na ikaleta sintofahamu kubwa sana.
Ilichukua miezi kadhaa kuwa ni mimi ndiye niliye Fanya hujuma hiyo
hhahahahhhaa achaaaHapo ndo zile purukushani za kujaladia madaftari kwenye sketi na kaptula zinaanza huhuhuhuhu aiseee alafu mnachapwa mikononi
Aiseee unaona aibu kuchapwaaaaNa ilikuwa inapendeza sana, lile darasa uliloenda kupiga umbea kuna ki girl au boy chako, na anakujua unavoogopa fimbo!
Hahaaa yani kweli tumetoka Mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hiiView attachment 734926
Na hapo usikute imeanza kuchoka. Inajikunja kama mzee