Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Ha ha ha...shule nyingine ukiwa nunda ndo unapewa uongozi.Shule niliyosoma ndio ilinifanya niwe nunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha...shule nyingine ukiwa nunda ndo unapewa uongozi.Shule niliyosoma ndio ilinifanya niwe nunda
Hiyo ni shule uliyosoma weweHakuna aliyetoka darasani kwake na kwenda darasa lingine ilikuwa hairuhusiwi kabisa halafu huo muda utaupata wapi? pili utaadhibiwa wewe na uliyemfuata, labda umesoma kipindi ambacho mwanafunzi yupo juu na walimu hawana kauli kwa wanafunzi yoyote
Duh.Nakumbuka kuna siku nilienda darasa B wakat mm nasoma A,nikafanya fujo sana Mara paap teacher kaibuka,akasema token mbele wote na mpige magoti huku akiwa anachukua zigo la fimbo,mie nilipotok mbele nkakaa karibu na mlango ile teacher kashangaa me nkatoka faster,bas jamaa walichezeshewa kinoma wakat mfanya fujo mkuu nmejichenga,walikua mboko za haja darasa lote basi wakanimaind knoma ila walikua hawawez kunfny kitu co sababu ya ubabe wng ila nlikua famous sana na mtu wa watu
Nilikua napendaga yenye rangi nyekundu..kuna rafiki angu ndio yalikua mabegi yake hayo..namimi nilikua nayapenda..nilikua radhi nikifika tu shule tubadilishane nibebeee weeeh..mda wa kutoka kila mtu anachukua begi lake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hiiView attachment 734926
Na hapo usikute imeanza kuchoka. Inajikunja kama mzee
Hahahahahahaha aisee basi tu shule zetu hizi[emoji23][emoji23] mwalimu akigundua umejaladia anaweza akakupiga hata kiunoni..dadekii
Huna lolote..ulikua haupendi kusoma wewe