Hivi mnakumbuka hii?

Hivi mnakumbuka hii?

Hakuna aliyetoka darasani kwake na kwenda darasa lingine ilikuwa hairuhusiwi kabisa halafu huo muda utaupata wapi? pili utaadhibiwa wewe na uliyemfuata, labda umesoma kipindi ambacho mwanafunzi yupo juu na walimu hawana kauli kwa wanafunzi yoyote
 
Hakuna aliyetoka darasani kwake na kwenda darasa lingine ilikuwa hairuhusiwi kabisa halafu huo muda utaupata wapi? pili utaadhibiwa wewe na uliyemfuata, labda umesoma kipindi ambacho mwanafunzi yupo juu na walimu hawana kauli kwa wanafunzi yoyote
Hiyo ni shule uliyosoma wewe
 
Nakumbuka kuna siku nilienda darasa B wakat mm nasoma A,nikafanya fujo sana Mara paap teacher kaibuka,akasema token mbele wote na mpige magoti huku akiwa anachukua zigo la fimbo,mie nilipotok mbele nkakaa karibu na mlango ile teacher kashangaa me nkatoka faster,bas jamaa walichezeshewa kinoma wakat mfanya fujo mkuu nmejichenga,walikua mboko za haja darasa lote basi wakanimaind knoma ila walikua hawawez kunfny kitu co sababu ya ubabe wng ila nlikua famous sana na mtu wa watu
Duh.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hiiView attachment 734926
Na hapo usikute imeanza kuchoka. Inajikunja kama mzee
Nilikua napendaga yenye rangi nyekundu..kuna rafiki angu ndio yalikua mabegi yake hayo..namimi nilikua nayapenda..nilikua radhi nikifika tu shule tubadilishane nibebeee weeeh..mda wa kutoka kila mtu anachukua begi lake
 
Hapo ndo zile purukushani za kujaladia madaftari kwenye sketi na kaptula zinaanza huhuhuhuhu aiseee alafu mnachapwa mikononi
[emoji23][emoji23] mwalimu akigundua umejaladia anaweza akakupiga hata kiunoni..dadekii
 
Watanifanya nini sasa? Darasani nilikuwa mkali Na nilikuwa nawaambia walimu mimi sistahili kusoma shule yao iko below my levels, Na nilikuwa nawaomba wanufukuze shule
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli ulikua nunda haswaa
 
Back
Top Bottom