Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
 
Watumwa katika hizo dini ni wale wanaojilipua kwa mabomu ili wawahi kwenda peponi kujivinjari kwenye zile bikra 72 na mito ya pombe.

Wasio watumwa waamini katika upendo.

1 YOHANA 4:20

"Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona."
 
Watumwa katika hizo dini ni wale wanaojilipua kwa mabomu ili wawahi kwenda peponi kujivinjari kwenye zile bikra 72 na mito ya pombe.

Wasio watumwa waamini katika upendo.

1 YOHANA 4:20

"Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona."
Unaruka maji unakanyaga maji!
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
ushindwe katika jina la Yesu fire fire fire toka toka tokaa
Hallelujah !
Waumini : Amen
 
Alieandika kuwa hakuna Mungu ni nani..?
Kwa akili hizi ndio maana mnaitwa kondoo..😂
Ukiamini kuna Mungu basi utaamini na aliyosema, kwa maana yeye ni mmoja na kauli yake ni thabiti….. huko ulikojifunza kuwa kuna Mungu ndiko huko umesikia kuhusu uzima wa milele.

Kuchukua moja na kuacha moja ni uchaguzi wako, ila haina maana kuwa ndivyo ilivyo…. inabaki kuwa maoni yako tu.
 
Ukiamini kuna Mungu basi utaamini na aliyosema, kwa maana yeye ni mmoja na kauli yake ni thabiti….. huko ulikojifunza kuwa kuna Mungu ndiko huko umesikia kuhusu uzima wa milele.

Kuchukua moja na kuacha moja ni uchaguzi wako, ila haina maana kuwa ndivyo ilivyo…. inabaki kuwa maoni yako tu.
Porojo tu kama porojo nyengine endeleeni kupigwa mpaka akili zije ziwakae sawa.
 
Enzi hizo ulizosema wewe hakukuwa na hospitali, leo hii zipo na zinaponya na kufufua….. endelea kukaza fuvu.
🤣🤣 Kwa maneno haya fuvu nakaza mkuu..
 
Huyu ungemchukua msukule hata wiki moja tu! Unamlisha unga uliochanganywa na maji usiku na mchana juu ya dari yako!

Siku ukimrudisha uraiani, lazima akili yake imkae sawa.
😂😂 Dah!
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Tumeshaongea humu hadi tumechoka, watu hawaelewi, wacha tunyamaze tu
 
Back
Top Bottom