Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!![emoji23]
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..[emoji1787][emoji1787]
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?[emoji28]

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Usijidanganyike kwamba utaishi maisha ambayo hujajipa mwenyewe halafu mwisho wa siku usiwe na mahali pa kuwajibika. Deal na Mungu,Achana na Dini.
 
By the way everyone is entitled to believe whatever she/he want to believe.

Personal,I believe that God is omnipresent, Omniscient and benevolent.
 
Usijidanganyike kwamba utaishi maisha ambayo hujajipa mwenyewe halafu mwisho wa siku usiwe na mahali pa kuwajibika. Deal na Mungu,Achana na Dini.
Kuna watu wanapeta sana wakati wamefanya uovu mwingi na mkubwa sana. Infact they die good deaths, not the traumatic deaths they caused others eg. Serial killers.

Huwa naona kama tunajipa moyo tu kuhusu hukumu baada ya kifo na karma kwasababu tumeshindwa kupata haki.

Inasikitisha sana kama kweli maisha/existence haina "macho" , yani things just happen following the biological laws and there is no sense of natural justice!

Who designed this!!?
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!![emoji23]
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..[emoji1787][emoji1787]
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?[emoji28]

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Tuache tu tuendeshwe, kwani wewe kinakuuma nini?.Mimi huwezi kunitoa kwenye Imani yangu.
 
Halafu hata mimi huwa najiuliza kwanini ibilisi atupwe duniani kutusumbua??kwanini Mungu asimwadhibu huko huko mbinguni mpaka aletwe duniani kutusumbua hivi??Kwanini yeye asikae nae huko huko kama ni kumfunga amfunge huko huko mi nnaona kuna ukweli hapa duniani tunapigwa sana aisee.

Shetani ni roho hasi, fikra Hasi,
Kwenda mbali wewe mwandishi uchwara, sio lazima kila mtu aamini unavyo waza wewe. Shwaiiin

Sipo hapa kumfanya yeyote aamini ninachokiaamini.

Naelezea kuwa, Ni upumbavu mtu kujadili na kuhitimisha mambo asiyo na Ujuzi nayo.

Fikiria wewe Msukuma ujifanye unajadili mambo ya wandendereko usiowajua si Utaonekana mwendawazimu.
 
Tuache tu tuendeshwe, kwani wewe kinakuuma nini?.Mimi huwezi kunitoa kwenye Imani yangu.
Kweli kabisa ,Dunia haijafikia usiriaz kiasi cha kuona dini ni upuuzi bado kuna mambo na upuuzi mwingi unaoendelea. Hata mimi naamini imani yangu hainiidhuru wala kuniathiri kivyovyote.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!![emoji23]
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..[emoji1787][emoji1787]
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?[emoji28]

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Laiti kama ufahamu ukikurudia utapenda kutup tena ushuhuda.

Huna Elimu youote kuhusu Mtu akiwa hai na Akishakufa...uko Empty...

Mtu akifa kinachozikwa ni Mwili na siyo Roho yake...

Mwili ni Udongo na,Udongoni utarudi.

Roho iliyotenda maovu itateseka tu...kwa kuwa Roho haifi.

Umeshasikia mtu akisema ...naumwa Roho?

Kuumwa Roho ni Kuteseka...hili humkuta mtu akiwa Hai...

Sasa ukifa..matendo yako yanashuhudiwa na watu...kama ni mtenda maovu utateseka mara Elfu zaidi...

Na pia iko KARMA...Laana...huu ni mfululizo wa mambo yanayotokea katika maumivu ya Roho wakati fulani...na kumpata mwenyr Roho Mwingine.

Mungu yupo,alikuwepo na atakuwepo milele!

Sasa kwenye baadhi ya dini kuna ulsghai lakini UKWELI UNABAKI KUWA UKWELI.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!πŸ˜‚
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🀣🀣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?πŸ˜…

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Tatizo umepewa elimu na wasiokuwa na elimu,kalibu upande wa pili wa Uisilamu,halafu hayo yote unayouliza yasiyokuwa na majibu utapata majibu yake.
Toka kutungwa mimba mpaka siku yake ya kufa,toka Adamu mpaka kiama,kalibu ndugu yangu upate ukweli
 
Ati roho.! Mkuu Baki na imani yako.
Laiti kama ufahamu ukikurudia utapenda kutup tena ushuhuda.

Huna Elimu youote kuhusu Mtu akiwa hai na Akishakufa...uko Empty...

Mtu akifa kinachozikwa ni Mwili na siyo Roho yake...

Mwili ni Udongo na,Udongoni utarudi.

Roho iliyotenda maovu itateseka tu...kwa kuwa Roho haifi.

Umeshasikia mtu akisema ...naumwa Roho?

Kuumwa Roho ni Kuteseka...hili humkuta mtu akiwa Hai...

Sasa ukifa..matendo yako yanashuhudiwa na watu...kama ni mtenda maovu utateseka mara Elfu zaidi...

Na pia iko KARMA...Laana...huu ni mfululizo wa mambo yanayotokea katika maumivu ya Roho wakati fulani...na kumpata mwenyr Roho Mwingine.

Mungu yupo,alikuwepo na atakuwepo milele!

Sasa kwenye baadhi ya dini kuna ulsghai lakini UKWELI UNABAKI KUWA UKWELI.
 
Tatizo umepewa elimu na wasiokuwa na elimu,kalibu upande wa pili wa Uisilamu,halafu hayo yote unayouliza yasiyokuwa na majibu utapata majibu yake.
Toka kutungwa mimba mpaka siku yake ya kufa,toka Adamu mpaka kiama,kalibu ndugu yangu upate ukweli
Yaleyale tu
 
Yaleyale tu
Siyo yaleyale tatizo binadamu wanaishi kwa kupata ukweli wa upande mmoja,inawezekana hata mimi nilikuwa kama wewe,nilikuwa na maswali mengi kuliko majibu, lakini nimefundishwa ukweli kiasi na mimi naweza kuwafundisha watu ukweli kwa ile elimu ya ukweli ndogo niliyoipata
 
Back
Top Bottom