Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

Hivi mnaona ninachokiona au nyie ni vipofu?

Siyo yaleyale tatizo binadamu wanaishi kwa kupata ukweli wa upande mmoja,inawezekana hata mimi nilikuwa kama wewe,nilikuwa na maswali mengi kuliko majibu, lakini nimefundishwa ukweli kiasi na mimi naweza kuwafundisha watu ukweli kwa ile elimu ya ukweli ndogo niliyoipata
Kipi Cha tofauti ulichonacho
 
Wewe roho inakuuma nn? Mimi nikienda Kansan wewe unapungukiwa nn?
Watu kusali sio Kila mmoja ana lengo lileeee...au bas nisiseme
 
Wewe roho inakuuma nn? Mimi nikienda Kansan wewe unapungukiwa nn?
Watu kusali sio Kila mmoja ana lengo lileeee...au bas nisiseme
Ndo mkanyagwe migongo..?😀
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Kama hilo la kuhamisha milima tu umeshindwa kuelewa maana yake, mengine utayaweza?
Punguza siasa andika vitu kwa ufafanuzi Kama unaona sijaelewa.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Ungekuwa Saudi Arabia,ungepigiwa hodi leo usiku.
 
images (5).jpeg
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Uzuri unaongelea imani na hicho unachokiandika hapa ni imani.

Ikiwa unaamini hivyo ni sawa na wengine wanaamini moto ni sawa.

Lakini unaweza kuamini kweli na uongo. Haya yote utayajua katika utimilifu wa dahari. Endelea na imani yako.

Mimi naamini katika mafundisho ya Mwalimu mkuu Yesu Kristo. Kwani mambo yote aliyofundisha, (elewa nasema yote sio baadhi) na kitabu alichotumia nimeyafanyia kazi na kuona ni kweli tupu kwangu (sio kwako).

Tusipangiane cha kuamini. Naamini moto upo, faida ndo tutajua moto ukiwaka kuchoma.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Dini zinaweza kuonekana kama wendawazimu, sawa, kuna watu wanaabudu mawe, wengine miti, wengine wanyama, milima, bahari, anga, ardhi, kifupi hakuna kitu ambacho wanadamu hawajakiabudu kama mungu wao.

Pamoja na hayo, hii haizuii uwepo wa Mungu. Mimi naamini uwepo wa maisha ya kiroho baada ya haya ya kimwili, na kwamba upo uwezekano wa adhabu kwa wale waliofanya matendo mabaya hapa duniani. Kwa lugha ya kibinadamu tunasema ni adhabu ya moto, lakini siamini kama ni moto kwa jinsi tujuavyo, bali ni adhabu kali ya kuwa mbali na Mungu.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!![emoji23]
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..[emoji1787][emoji1787]
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?[emoji28]

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Mm sina dini ila nasema mungu lazima yupo hata sayanyi kubwa na akili kubwa vinathibitisha .....1)you can't destroy energy even create it......
2)In reality, there is no matters even matters is energy.
Hapo ndipo ilipo siri ya uwepo wa Mungu na viumbe vyote.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!![emoji23]
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..[emoji1787][emoji1787]
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?[emoji28]

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Mwanadamu ndio kiumbe hai pekee duniani chenye 3 dimensions wengine ni Physical tu:

-Spirit dimension: The zoe life
-Soul dimension: Intelligent life
-Physical dimension: Body life

Spirit dimension ndo inacontrol dimension zote tatu bs ndio main source,ila wengi wameishia kumaster soul and physical dimension

Ukiwa kwenye spirit dimension utashangaa sana namna inafanya kazi.
 
Ifike mahali mfumbuke macho nduguzanguni!, mnacholishwa ni ulaghai tupu!.

Hizi dini ni moja ya project za kilaghai kuwahi kutokea katika dunia yetu!.

Hivi unawezaje kuamini ukifa Kama unadhambi ati unachomwa moto!!😂
Sasa kwa faida ya nani sasa?

Kutokujua ulipotoka ndipo ulipotoka, kwasababu ulipotoka hakukuwa na ufahamu, na maana ya kifo ni kurudi kule ambako hakuna ufahamu.

It's crazy kufikiri kuna muujiza utakujia kuunyoosha mguu wako uliopinda!,hayo mamlaka yanamaarifa yake ila sio kimiujiza!.

Crazily ati kuurudisha uhai kwa mtu aliekufa..🤣🤣
Serious?

Unawezaje kuamini kufanya muujiza kwa imani?
Ati ukiwa na imani Kama chembe ya haradani unaweza kuuambia mlima ng'oka na ukajitupe baharini!.

Tupo watu billion 7 sahivi duniani hivi amekosekana hata mmoja mwenye hiyo imani ya kufanya hata hivyo kweli..?😅

Wakati uliopita watu walikuwa wachache na unaambiwa imeandikwa watu waliponya watu na walifufua watu!,Leo ishindikane nini?

Ndugu na jamaa zangu mnapigwa tena mnapigwa na vitu vizito kichwani!, hebu fumbukeni macho mnaendeshwa na hizi dini mmekuwa watumwa!.. ati watu hawaziki Kama ulikuwa sio muhuzuriaji kwenye mambo yao, wakati huohuo kwenye vitabu vyao imeandikwa bwana ndie mhukumu wa haki!.

Hivi mnaona ninachokiona au wenzangu mmeamua kufumba macho?

Kila jambo litaishia hapahapa duniani, ukifa tutakufukia utaoza huna chochote cha kumbukumbu Wala kuhisi chochote.

Wao wanajua ubongo wa mwanadamu unavyofanya kazi ndio maana wanajua kuuchezea.. mnapigwa ndugu zanguni.
Tupe ushahidi kwanini waliokufa hawachomwi moto!!na unatumia vigezo gani kufikia hapo,au na wewe unatumia logic za kibinadamu!!
Ninachojua Mimi,ukiona simu ya galaxy macho matatu,au landcruiser V8,huwezi kusema hivi vitu vimetokea tu,hata ukinunua,utwkuta user manual,utaisoma na utafata maelekezo jinsi ya kutumia.
Sasa utakuwa kichaa ukiamini hivyo vitu vimetokea tu,hakuna aliyevitengeneza,na utwkuwa kichaa mala mbili ukipinga maelekezo yaliyopo kwenye user manual?!!binadamu alitengenezwa,na aliyemtengeneza ndie anasema usipofanya anavyotaka utachomwa moto!!,wewe unapinga,sie tunqamini aliyeumba ndie kaleta msaafu na biblia.
Wewe una base hoja zako kupitia nini?Elimu ya YouTube!??
 
Mm sina dini ila nasema mungu lazima yupo hata sayanyi kubwa na akili kubwa vinathibitisha .....1)you can't destroy energy even create it......
2)In reality, there is no matters even matters is energy.
Hapo ndipo ilipo siri ya uwepo wa Mungu na viumbe vyote.
Kuna uzi nilishaleta humu unazungumzia kuhusu Mungu.
 
Mwanadamu ndio kiumbe hai pekee duniani chenye 3 dimensions wengine ni Physical tu:

-Spirit dimension: The zoe life
-Soul dimension: Intelligent life
-Physical dimension: Body life

Spirit dimension ndo inacontrol dimension zote tatu bs ndio main source,ila wengi wameishia kumaster soul and physical dimension

Ukiwa kwenye spirit dimension utashangaa sana namna inafanya kazi.
Leta ushahidi spirit imekusaidia nini
 
Tupe ushahidi kwanini waliokufa hawachomwi moto!!na unatumia vigezo gani kufikia hapo,au na wewe unatumia logic za kibinadamu!!
Ninachojua Mimi,ukiona simu ya galaxy macho matatu,au landcruiser V8,huwezi kusema hivi vitu vimetokea tu,hata ukinunua,utwkuta user manual,utaisoma na utafata maelekezo jinsi ya kutumia.
Sasa utakuwa kichaa ukiamini hivyo vitu vimetokea tu,hakuna aliyevitengeneza,na utwkuwa kichaa mala mbili ukipinga maelekezo yaliyopo kwenye user manual?!!binadamu alitengenezwa,na aliyemtengeneza ndie anasema usipofanya anavyotaka utachomwa moto!!,wewe unapinga,sie tunqamini aliyeumba ndie kaleta msaafu na biblia.
Wewe una base hoja zako kupitia nini?Elimu ya YouTube!??
Unarudisha nyuma ndugu
 
Back
Top Bottom