Bi.Mbappe kila Kona upoHiyo ni changamoto ya wengi 😂
Mchana nimechukua samaki, nikaona ile barafu itanichelesha, nikarudisha nikachukua dagaa.
😂😂😂 heee jina sasaBi.Mbappe kila Kona upo
Kwahyo ukarudisha Fish ukachukua Fish Baby co 😛😂😂😂 heee jina sasa
Na wewe ndio ulisababisha me nisipike samakiTengeneza ratiba ya msosi ya week
Unanunua vyakula unaweka ndani
Hao fish babe ni watamu balaaKwahyo ukarudisha Fish ukachukua Fish Baby co 😛
Kupenda kwako umbea kuliko kula kumekuponzaNa wewe ndio ulisababisha me nisipike samaki
Mboga ya Mgulani JkT.Hao fish babe ni watamu balaa
Weee waacheni fish babesMboga ya Mgulani JkT.
Kiungulia Mama weeeh
Hiyo ni changamoto ya wengi 😂
Mchana nimechukua samaki, nikaona ile barafu itanichelewesha, nikarudisha nikachukua dagaa.
Kupenda kwako umbea kuliko kula kumekuponza
Kwa kweli ni changamoto nilijua mimi tu kumbe tupo wengi
Huo ni uzembe wa akili, unatakiwa kujua mboga ya siku saba zijazo.Hao fish babe ni watamu balaa