Hivi mnapata ugumu kujua mboga ya kupika kama mimi?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Mwenzenu kila nikiwaza mboga ya kula siku hiyo napata tabu sana, yaani natumia muda mrefu sana kuwaza mboga na wakati mwingine nakosa najikuta kila nayowaza nimekula siku za karibu.

Yaani kujua mbga ya kupika kwa upande wangu ni tatizo sana natamani hata ningekuwa naambiwa tu pika mboga hii leo kesho pika hii.

Je, na wewe unakutana na changamoto kama yangu.

 
Wee wakike wakiume? kunakitu nataka nikiweke sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…