Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Njegere naona zina mambo mengi kwangua nazi chuja tuišMnoo...esp African food..! Mie njegere ni kimbilio langu no 1! ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njegere naona zina mambo mengi kwangua nazi chuja tuišMnoo...esp African food..! Mie njegere ni kimbilio langu no 1! ...
Mie nazipenda hata saa1 unapika fasta..kikombe 1 tu zimeiva..ila mm nikiona habari za nazi sinq muda napikia kwa wali then najitengenezea salad chap...so napata wali wa maua humo humo carot twende kaziNjegere naona zina mambo mengi kwangua nazi chuja tuiš
Nyepesi kupika, nlikuaga nakimbilia wali maharage chap....sahivi kids sijui wameuchoka maharage nimeyapa likizo kidogoMie nazipenda hata saa1 unapika fasta..kikombe 1 tu zimeiva..ila mm nikiona habari za nazi sinq muda napikia kwa wali then najitengenezea salad chap...so napata wali wa maua humo humo carot twende kazi
Bas mimi maharage naona kero kupika..mie njegere all the way kama hakuelewekiš¤£...sena watoto wengi wanapenda wali maharage sanaNyepesi kupika, nlikuaga nakimbilia wali maharage chap....sahivi kids sijui wameuchoka maharage nimeyapa likizo kidogo
Hebu tuje tusaidiane kuandaa menu ya wiki mbili kurudia vyakula tuone kama tutaifataš¤£Bas mimi maharage naona kero kupika..mie njegere all the way kama hakuelewekiš¤£...sena watoto wengi wanapenda wali maharage sana
Andaa na mimi niandaeš¤£āHebu tuje tusaidiane kuandaa menu ya wiki mbili kurudia vyakula tuone kama tutaifataš¤£
MEnu ya wiki nzima kwa jioni tu dinner...(African food):Hebu tuje tusaidiane kuandaa menu ya wiki mbili kurudia vyakula tuone kama tutaifataš¤£
Ratiba nzuri ila ndo ivo kisemo cha Evelyn, umepanga ndizi nyama mfukoni una hela ya wali maharage. Ratiba ni nzuri ila kwa sisi unga unga mwana ni mtihani kuifata.MEnu ya wiki nzima kwa jioni tu dinner...(African food):
Monday--- NDIZI NYAMA+ MCHICHA +CHUNGWA.
Tuesday---WALI MAHARAGE +SALAD +NDizi mbivu
Wednesday---WALI NJEGERE+JUICE YA EMBE /BUNGO
Thursday---- NDIZI MZUZU ZA NAZI +KUKU YA KUKAANGWA+MCHICHA+TIKITI
Friday---WALI SAMAKI+CHINESE/KISAMVU+PARACHICHI
Saturday---MAGIMBI YA NAZI NA VIAZI VITAMU(FUTARI)+JUICE YA UBUYU
Sunday---Pilau kuku+mchicha+juice ya bungo
Cc;
Evelyn Salt
Yaani....Mungu atusaidieRatiba nzuri ila ndo ivo kisemo cha Evelyn, umepanga ndizi nyama mfukoni una hela ya wali maharage. Ratiba ni nzuri ila kwa sisi unga unga mwana ni mtihani kuifata.
Nimecheka pa baba na mama biaš¤£!kabisa aise i hate maharage basi tu sina jinsišJmosi: Nyama choma, ndizi choma na salad (watoto juice baba na mama beerš)
Jpili: Pilau nyama, ndizi mbivu na juice
Jtatu: Wali maharage/njegere tikiti
Jnne:chips yai na juice
Jtano: Mchemsho wa ndizi/viazi na nyama au samaki na mboga mboga ndani yake
Alhamis: Wali samaki mboga za majani
Ijumaa: Chapati makange
Tutafute hela jamani tule maharage mara moja kwa wiki š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Jmosi huwa napenda kuchoma nikinunua part ya nyama inaitwa salala au T-bone naimarinate vizuri inachomwa twala na chips au ndizi kisha nipate beer basi najiona maisha nimeyapatiaš¤£š¤£š¤£Nimecheka pa baba na mama biaš¤£!kabisa aise i hate maharage basi tu sina jinsiš
Nyama safi sana hiyo aisee..!mie every jpl sio mpenzi wa chips ni mlafi wa kitu cha pilau...nashushia na ki blak n white ah...sikumbiki kitu cha kuporwa bandari mie..napenda pilau balaa...Jmosi huwa napenda kuchoma nikinunua part ya nyama inaitwa salala au T-bone naimarinate vizuri inachomwa twala na chips au ndizi kisha nipate beer basi najiona maisha nimeyapatiaš¤£š¤£š¤£
Upate pilau la basmat....šššNyama safi sana hiyo aisee..!mie every jpl sio mpenzi wa chips ni mlafi wa kitu cha pilau...nashushia na ki blak n white ah...sikumbiki kitu cha kuporwa bandari mie..napenda pilau balaa...