Baby dry fish sioπ
Hawa wanawake, most of them, have minds like a hole on the wall, ukizingatia sana unazeeka single. Ni kukubaliana na hali halisi tu na kuishi nao.Kuna kipindi mama watoto kidogo tugombane, kila siku anauliza tupike nini. Kumbe mnapata tabu eeh.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kufikia mwakani twajua utakuwa MuhA na kauzu Kama dagaaSawa mjomba Messi
Niliochukua hawakuwa dry π Walikuwa ni fried babe fishBaby dry fish sioπ
Acha tu bossKuna kipindi mama watoto kidogo tugombane, kila siku anauliza tupike nini. Kumbe mnapata tabu eeh.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kama hao ni watamuπNiliochukua hawakuwa dry π
Walikuwa ni fried babe fish
Fried babe fish marinated with little red chill, ginger, thoum and green lemonKama hao ni watamuπ
Wife materialFried babe fish marinated with little red chill, ginger, thoum and green lemon
πΉπΉπΉπΉπΉππ
Wife material
Ngoja niongee vizuri na kakaπ
[emoji3][emoji3][emoji3]Kizazi sana mwanangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Personally hii kitu ilinishinda. Nkaamua tu kuvuta bebez tukae wote.
Nlichomwambia n kimoja, mimi sili mbwa wala chura au nyoka, vingine vyote nakula. Kazi kwako kuamua unachotaka.
After hapo nahakikisha maronyaronya yako ndichi bas nakaa kwa kutulia, atakachopika nafukia nalala. Muhim jumapili pilau na noah baas!
Dah hii inawezekana ukiwa na pesa tu,ratiba inasema pilau kuku halafu siku hiyo mfukoni una buku π€£ pilau kuku inakua ugali mchichaTengeneza ratiba ya chakula kwa siku 7...uifate
Unaishia kupika wali kachumbari...Dah hii inawezekana ukiwa na pesa tu,ratiba inasema pilau kuku halafu siku hiyo mfukoni una buku π€£ pilau kuku inakua ugali mchicha
Kuwaza kitu cha kupika huwa ni kazi sanaUnaishia kupika wali kachumbari...
Mnoo...esp African food..! Mie njegere ni kimbilio langu no 1! ...Kuwaza kitu cha kupika huwa ni kazi sana