Hivi mnawezaje kuishi maisha ya aina mbili kwa wakati mmoja?

Tena wengi wanaoshika dini sana ni wanafiki. Ndio wenye kufanya matendo ya ajabu zaidi ya wa wa kawaida.
 
Wameshakubuhu, hakuna kinachowapa hofu.
 
Unapoogopa kumcha Mungu kisa unatenda dhambi ni Sawa na mtu anaeogopa kuoga au kunawa akishachafuka. Cha Muhimu ni kutubu na kuzidi kumwomba Mungu
 
Dhambi ni uhasi (Kumkataa Mungu kwenye maisha yako )
Usiitizame dhambi kimatendo utachanganyikiwa.

Kuuwa ni Dhambi lakini je mwanajeshi au police anaweza kuuwa akiwa kazini je ni dhambi hiyo atachomwa moto kisa kuuwa adui/jambaz?
 
Unaiba pesa ofisini halafu unaporomosha lijumba likubwa na lifensi la uhakika ili wezi wasimwibie mwizi mwenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…