Hivi mnieleweshe: kwani kipindi cha yesu kulikuwa na picha? Sasa huyu yesu aliyepo makanisani picha yake ilipatikana VP?

Hivi mnieleweshe: kwani kipindi cha yesu kulikuwa na picha? Sasa huyu yesu aliyepo makanisani picha yake ilipatikana VP?

Kwani lengo la kujadili Shroud of tulin lilikua ni lipi?
Umeshapoteza kumbukumbu kwenye comment Yako ya Mwanzoni ulichokiandika hebu rudi angalia mjadala ulianzaje!
sawa halima ndala ndefu, kanisa moja takatfu la mtume, tumsifu yesu kristu limehifadhi kumbukumbu zote tangia wakat wa yesu na before, ila kwenye kasri la papa pametundikwa picha ya borgia kama yesu, wachoraj walikuwepo kipindi cha yesu wakashindwa kumchora, baada ya kuondoka wakamchora yoshua kwan alifanana na yesu, kanisa katoliki wakachukua picha ya borgia (mtoto wa kimada wa papa) wakaacha ya almaarufu nabii yoshua.

kwa kheri ndala ndefu.
 
Watu wengi wakionaga michoro/picha/sanamu za Katoliki wanafikiri ni mtu tu aliamka na kuzichora/kutengeneza inshort itakuchukua muda sana kuelewa na hakuna rc atakayehangaika kukuelezea picha hii ilitokana na tukio hili au lile kwa sababu hautaelewa.Kila inachokiona kanisa la Roma kimefanyiwa utafiti,kilichunguzwa na kudhihirika kweli kilitokea.
Mtoa mada sali Yesu atakuja kwako pia sio wa Roma tu waliotokewa na Yesu ingia mtandaoni utakuta Waislamu/wayahudi na hata wapagani waliotokewa na Yesu itakusaidia kuelewa zaidi.
 
sawa halima ndala ndefu, kanisa moja takatfu la mtume, tumsifu yesu kristu limehifadhi kumbukumbu zote tangia wakat wa yesu na before, ila kwenye kasri la papa pametundikwa picha ya borgia kama yesu, wachoraj walikuwepo kipindi cha yesu wakashindwa kumchora, baada ya kuondoka wakamchora yoshua kwan alifanana na yesu, kanisa katoliki wakachukua picha ya borgia (mtoto wa kimada wa papa) wakaacha ya almaarufu nabii yoshua.

kwa kheri ndala ndefu.
Mbona kama umepanic hivi Mwamba Hilo la Borgia kua mtoto wa Papa inajulikana tena wanaenda mbali ni alikua basha wa Da vinci,
Hizo habari tunazo na hata swala la Vinci kumpotrait jamaa kwa kutumia sanaa ya hali ya juu kama Yashua ni code ambayo kipindi cha Renaissance alificha ujumbe fulani wa siri kumbuka Vinci ni genius ever!
 
Back
Top Bottom