rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ni ngumu kuwaelewesha hawa watu maana walikubali uwekezaji bila kuelewa maana yake kwa kifupi walipaswa kupewa elimu kwanza.Simba ni mali yao, wameamua tu kuuza 49 percent kwa twenty Bln. watoe nini tena?
Simba hawatoi kitu maana wao ndio brand/project ambayo Mo anakusudia kuweka mzigo in a return of profit,
Kuhusu Mo generate profit au kufanya Kama hisani hapo ni 'secrecy of the business' ila inaaminiwa kua Mo anataka kuisaidia Simba kule ilipotoka,
Hizo hisa nyingine 51% zitamilikiwa na club members,Lakini sio mtu mmoja eti kumiliki hisa kwa more than 50%,
Karibu.
Kulikuwa na makubaliano namna gani pesa itatoka.
Mwezi wa kwanza 10 percent iliyobaki baada ya miezi mitatu.
Mkuu kwasasa Wanachama si wanamiliki asilimia 100? Sasa wanapata nini na kuuza kwao 49?. Hiyo 51 ni yao toka zamani.Kutokana na sheria na taratibu zetu,wananchii(wanachama wa Simba) ndo watakua wamiliki wa hizo 51%,Maana Mo alitakaga kuchukua 100% ila sheria ikambana.
Ni kweli boss Mo alikurupuka kutaja hiko kiasi,Maana mpaka Leo hawajui club ina thamani gani,Wanachama wao wangapi TZ nzima n.kMoo alikurupuka kutaja hizo hela.
Ni wazi atakayeumia Ni yeye.
Brand ya Simba hauwezi kuwa na thamani ya bilioni 20 kwa mkupuo.
Atafakari upya.
Kama anatoa atoe tu sadaka Ila kurudi na faida JUU hyo ni NDOTO
Simba sports club company Ni mtu kisheria,ina management yake na bodi ya wadhamini ambao wanaimiliki Simba kwa niaba ya wanachama,hao ndo watakabidhiwa hiyo pesa.Tatizo wote wanaumwa apedomia.Nani anayemiliki hiyo Simba sport club company. Maana huyo ndiye hasa anauza hisa na ndiye anatakiwa kupewa pesa.
Hilo swali mlitakiwa muulize kabla ya kuamua kuingia uwekezajialafu hizo hela zinaenda kufanya nini?
Ni zaidi ya hiyo. Maana kama 49 ni sawa na bilioni 20 basi asilimia 100 ni zaidi ya bln 40Moo alikurupuka kutaja hizo hela.
Ni wazi atakayeumia Ni yeye.
Brand ya Simba hauwezi kuwa na thamani ya bilioni 20 kwa mkupuo.
Atafakari upya.
Kama anatoa atoe tu sadaka Ila kurudi na faida JUU hyo ni NDOTO
Hata mi nilitaka kusema hivyo hivyooooSi sunday manara?,,au ulitaka akabidhiwe nani?
Unavyosajili kampuni unaandika majina ya shareholders. Hao ndiyo wamiliki. Kwa Simba sport club company ni wakina nani?.Simba sports club company Ni mtu kisheria,ina management yake na bodi ya wadhamini ambao wanaimiliki Simba kwa niaba ya wanachama,hao ndo watakabidhiwa hiyo pesa.Tatizo wote wanaumwa apedomia.
Ikumbukwe Simba wapo katika member's tier bado,kwahyo hamna mtu ambae ana miliki hisa,Hata wanachama wenyewe hawana hisa,Mkuu kwasasa Wanachama si wanamiliki asilimia 100? Sasa wanapata nini na kuuza kwao 49?. Hiyo 51 ni yao toka zamani.
Au Mo si mnunua hisa. Maana ukinunua hisa pesa haziendi kwenye mtaji wa kampuni bali zinaenda kwa wamiliki wa hisa/ kampuni, kwa Simba wanachama.
Mchakato ulifanya kienyeji, inawezekana mo amepigwa au Simba wamepigwa.Ni kweli boss Mo alikurupuka kutaja hiko kiasi,Maana mpaka Leo hawajui club ina thamani gani,Wanachama wao wangapi TZ nzima n.k
Me nlikua najua nawafanyia hisani,kumbe madeni.Mchakato ulifanya kienyeji, inawezekana mo amepigwa au Simba wamepigwa.
Kuna soko la mitaji ya hisa wana wataalamu kibao wangewasaidia au kuna kampuni kama kpmg au price water coopers wangeweza kuweka mambo sawa.
Tofauti ya mo na Simba, mo anajua anachofanya ndio maana alipoingia akataka hati ya jengo na akataka mahesabu ya nyuma ya miaka mitano yakaguliwe.
Mahesabu yakikaguliwa na madeni yakiondolewa unaweza kukuta Simba wanalipwa bilioni moja au pungufu kwani madeni makubwa wanayodaiwa Simba yanatoka kwa mo.
Simba waliingizwa kichwa kichwa kwenye huu mchakatoMe nlikua najua nawafanyia hisani,kumbe madeni.
Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.According to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,
Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,
Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,
Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,
Karibu.
Me nlikua najua jamaa anataka awatoe kwenye shida,Sasa naanza kuamini ya wale wazee wa kariakoo.Simba waliingizwa kichwa kichwa kwenye huu mchakato
Hela inatakiwa kuwekezwa ili izalishe siyo kunywea bia.Hilo swali mlitakiwa muulize kabla ya kuamua kuingia uwekezaji
Sunday Manara Ni mwananchi hana uhusiano na Mikia.Hata mi nilitaka kusema hivyo hivyoooo