Wachezaji wa Simba ni asset ya Simba wanapokuwa wana mkataba na Simba.Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.
Njaa hainaga baunsa na hasa ikipanda kichwani.Me nlikua najua jamaa anataka awatoe kwenye shida,Sasa naanza kuamini ya wale wazee wa kariakoo.
Naongezea hapo hapo,Na vipi ukamvunjia mchezaji mkataba wake na unatakiwa kumlipa hela zake,he uta-m- treat Kama creditor(liability)?Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.
Apedomia na mayala ndo chanzo.Mchakato ulifanya kienyeji, inawezekana mo amepigwa au Simba wamepigwa.
Kuna soko la mitaji ya hisa wana wataalamu kibao wangewasaidia au kuna kampuni kama kpmg au price water coopers wangeweza kuweka mambo sawa.
Tofauti ya mo na Simba, mo anajua anachofanya ndio maana alipoingia akataka hati ya jengo na akataka mahesabu ya nyuma ya miaka mitano yakaguliwe.
Mahesabu yakikaguliwa na madeni yakiondolewa unaweza kukuta Simba wanalipwa bilioni moja au pungufu kwani madeni makubwa wanayodaiwa Simba yanatoka kwa mo.
Na wewe, hilo swali unamuuliza nani?Hilo swali mlitakiwa muulize kabla ya kuamua kuingia uwekezaji
Bodi ya wadhamini mkuu,Kama alivyokuwa mzee Kilomoni na bi HinduUnavyosajili kampuni unaandika majina ya shareholders. Hao ndiyo wamiliki. Kwa Simba sport club company ni wakina nani?.
Hao ndiyo hupewa hela hisa zikiuzwa.
Lakini mkuu hao wanachama wakija kubaki na 51, watapata nini kutokana na zile 49 walizompa Mo? Kumbuka hela ya kuuza hisa hairudi kwenye kampuni.Ikumbukwe Simba wapo katika member's tier bado,kwahyo hamna mtu ambae ana miliki hisa,Hata wanachama wenyewe hawana hisa,
Kwahyo baada ya kuchange club managerial structure Mo dewji ndo anakua anaipa Simba sports club B20 kwa kuomba 49% ya umiliki wake,Afu the rest % ndo zinakua zinamilikiwa na members,
Karibu.
Sema 51% profit kwa Simba ni sawa tu.Njaa hainaga baunsa na hasa ikipanda kichwani.
Tatizo valuation alifanya Nani na lini ili kuona kwamba 49% ni sawa na 20 B?Sema 51% profit kwa Simba ni sawa tu.
Kwani haiwezekani hizo 49% shares atakazonunua Mo wanachama wakaamua ziende katika uendeshaji wa kampuni? Hivi niulize, hizi klabu za Simba nk zinajua idadi kamili ya wanachama wake, maana kama ni mwendo wa hisa si itabidi wagawane hizo hisa kwa % kutegemea na idadi yao?Mkuu kwasasa Wanachama si wanamiliki asilimia 100? Sasa wanapata nini na kuuza kwao 49?. Hiyo 51 ni yao toka zamani.
Au Mo si mnunua hisa. Maana ukinunua hisa pesa haziendi kwenye mtaji wa kampuni bali zinaenda kwa wamiliki wa hisa/ kampuni, kwa Simba wanachama.
Kama Mo ananunua 49% shares za Simba kwa 20bil, maana yake ni kuwa Simba ina thamani ya 40bil+. Je, hizo 20bil+ zilizobakia kwa wanachama ziko wapi?Ikumbukwe Simba wapo katika member's tier bado,kwahyo hamna mtu ambae ana miliki hisa,Hata wanachama wenyewe hawana hisa,
Kwahyo baada ya kuchange club managerial structure Mo dewji ndo anakua anaipa Simba sports club B20 kwa kuomba 49% ya umiliki wake,Afu the rest % ndo zinakua zinamilikiwa na members,
Karibu.
Hili linawezekana lakini hutokea pale kampuni huwa na hali mbaya. Hutafuta muwekezaji na kumpa hisa na wao hutumia zile pesa kujikwamua. Kama kampuni inaenda poa na ikauza hisa basi zile pesa hupewa wanahisa/wamiliki.Kwani haiwezekani hizo 49% shares atakazonunua Mo wanachama wakaamua ziende katika uendeshaji wa kampuni? Hivi niulize, hizi klabu za Simba nk zinajua idadi kamili ya wanachama wake, maana kama ni mwendo wa hisa si itabidi wagawane hizo hisa kwa % kutegemea na idadi yao?
Watu hawaelewi uwekezaji huo, pesa huwa hazitoki kwa mkupuo mmoja,,inatoka in installments over a specific period of time
Hao wanachama wanaopata huo mgao wa hisa, wao walitoa nini? Namaanisha kama mwanahisa kuna kitu unachangia, katika hizo 100% hisa walinunua, hivyo zikiuzwa wanakuwa na chao hapo. Sasa wanachama wa Simba wana nini walichochangia ili Mo akinunua hisa wao wawe wanufaika? Au ni kadi za uanachama ndio zinawabeba?Hili linawezekana lakini hutokea pale kampuni huwa na hali mbaya. Hutafuta muwekezaji na kumpa hisa na wao hutumia zile pesa kujikwamua. Kama kampuni inaenda poa na ikauza hisa basi zile pesa hupewa wanahisa/wamiliki.
Wao ndiyo wamejenga timu hadi imekuwa na thamani kubwa leo. Wao ndiyo wamiliki wa timu.Hao wanachama wanaopata huo mgao wa hisa, wao walitoa nini? Namaanisha kama mwanahisa kuna kitu unachangia, katika hizo 100% hisa walinunua, hivyo zikiuzwa wanakuwa na chao hapo. Sasa wanachama wa Simba wana nini walichochangia ili Mo akinunua hisa wao wawe wanufaika? Au ni kadi za uanachama ndio zinawabeba?
Mkuu hapo ndo kimbembe maana hisa moja ina cost 40M+,je Mo akiweka mzigo wanachama wapo tayar kuweka the rest %?!,Kama Mo ananunua 49% shares za Simba kwa 20bil, maana yake ni kuwa Simba ina thamani ya 40bil+. Je, hizo 20bil+ zilizobakia kwa wanachama ziko wapi?
Mkuu naona wao 51% Ni lile jengo k/Koo na uwanja wa bunju(japokua Mo aliwasaidia pa kubwa),Lakini mkuu hao wanachama wakija kubaki na 51, watapata nini kutokana na zile 49 walizompa Mo? Kumbuka hela ya kuuza hisa hairudi kwenye kampuni.
kuna ile unakuta kampuni ina hali mbaya basi unaomba muwekezaji aweke hela kwa mbadala wa hisa. Hapa hela huenda kwenye kampuni na hesabu yake huwa tofauti, labda kama ndicho kinachofanyika Simba.
Huyu yeye ndo haelewi,hivi ukienda kununua hisa 10000 za CRDB unatoa hela nusu au hela yote? Halafu kila mkataba una terms na conditions zake.Depends on terms of partnership.
Simba inatakiwa iwe transformed kutoka Simba Sports Club inayomilikiwa na Wanachama na kwenda kuwa Simba Sports Club inayomilikiwa Simba Sports Club Company Limited chini ya uenyekiti ya Mo, itakayo milikiwa na Simba Sports Club Holdings inayo Milikiwa na Mo Simba Company inayomilikiwa na Mo.According to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,
Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,
Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,
Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,
Karibu.