Hivi Mo akitoa Bilioni 20 anatakiwa kuwapa wakina nani?

Hivi Mo akitoa Bilioni 20 anatakiwa kuwapa wakina nani?

Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.
Wachezaji wa Simba ni asset ya Simba wanapokuwa wana mkataba na Simba.
 
Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.
Naongezea hapo hapo,Na vipi ukamvunjia mchezaji mkataba wake na unatakiwa kumlipa hela zake,he uta-m- treat Kama creditor(liability)?

Maana haya Mambo haya.
 
Mchakato ulifanya kienyeji, inawezekana mo amepigwa au Simba wamepigwa.
Kuna soko la mitaji ya hisa wana wataalamu kibao wangewasaidia au kuna kampuni kama kpmg au price water coopers wangeweza kuweka mambo sawa.
Tofauti ya mo na Simba, mo anajua anachofanya ndio maana alipoingia akataka hati ya jengo na akataka mahesabu ya nyuma ya miaka mitano yakaguliwe.
Mahesabu yakikaguliwa na madeni yakiondolewa unaweza kukuta Simba wanalipwa bilioni moja au pungufu kwani madeni makubwa wanayodaiwa Simba yanatoka kwa mo.
Apedomia na mayala ndo chanzo.
 
Ikumbukwe Simba wapo katika member's tier bado,kwahyo hamna mtu ambae ana miliki hisa,Hata wanachama wenyewe hawana hisa,

Kwahyo baada ya kuchange club managerial structure Mo dewji ndo anakua anaipa Simba sports club B20 kwa kuomba 49% ya umiliki wake,Afu the rest % ndo zinakua zinamilikiwa na members,

Karibu.
Lakini mkuu hao wanachama wakija kubaki na 51, watapata nini kutokana na zile 49 walizompa Mo? Kumbuka hela ya kuuza hisa hairudi kwenye kampuni.

kuna ile unakuta kampuni ina hali mbaya basi unaomba muwekezaji aweke hela kwa mbadala wa hisa. Hapa hela huenda kwenye kampuni na hesabu yake huwa tofauti, labda kama ndicho kinachofanyika Simba.
 
Mkuu kwasasa Wanachama si wanamiliki asilimia 100? Sasa wanapata nini na kuuza kwao 49?. Hiyo 51 ni yao toka zamani.
Au Mo si mnunua hisa. Maana ukinunua hisa pesa haziendi kwenye mtaji wa kampuni bali zinaenda kwa wamiliki wa hisa/ kampuni, kwa Simba wanachama.
Kwani haiwezekani hizo 49% shares atakazonunua Mo wanachama wakaamua ziende katika uendeshaji wa kampuni? Hivi niulize, hizi klabu za Simba nk zinajua idadi kamili ya wanachama wake, maana kama ni mwendo wa hisa si itabidi wagawane hizo hisa kwa % kutegemea na idadi yao?
 
Ikumbukwe Simba wapo katika member's tier bado,kwahyo hamna mtu ambae ana miliki hisa,Hata wanachama wenyewe hawana hisa,

Kwahyo baada ya kuchange club managerial structure Mo dewji ndo anakua anaipa Simba sports club B20 kwa kuomba 49% ya umiliki wake,Afu the rest % ndo zinakua zinamilikiwa na members,

Karibu.
Kama Mo ananunua 49% shares za Simba kwa 20bil, maana yake ni kuwa Simba ina thamani ya 40bil+. Je, hizo 20bil+ zilizobakia kwa wanachama ziko wapi?
 
Kwani haiwezekani hizo 49% shares atakazonunua Mo wanachama wakaamua ziende katika uendeshaji wa kampuni? Hivi niulize, hizi klabu za Simba nk zinajua idadi kamili ya wanachama wake, maana kama ni mwendo wa hisa si itabidi wagawane hizo hisa kwa % kutegemea na idadi yao?
Hili linawezekana lakini hutokea pale kampuni huwa na hali mbaya. Hutafuta muwekezaji na kumpa hisa na wao hutumia zile pesa kujikwamua. Kama kampuni inaenda poa na ikauza hisa basi zile pesa hupewa wanahisa/wamiliki.
 
Hili linawezekana lakini hutokea pale kampuni huwa na hali mbaya. Hutafuta muwekezaji na kumpa hisa na wao hutumia zile pesa kujikwamua. Kama kampuni inaenda poa na ikauza hisa basi zile pesa hupewa wanahisa/wamiliki.
Hao wanachama wanaopata huo mgao wa hisa, wao walitoa nini? Namaanisha kama mwanahisa kuna kitu unachangia, katika hizo 100% hisa walinunua, hivyo zikiuzwa wanakuwa na chao hapo. Sasa wanachama wa Simba wana nini walichochangia ili Mo akinunua hisa wao wawe wanufaika? Au ni kadi za uanachama ndio zinawabeba?
 
Mo hawezi kutoa 20B uwekezaji wake ni wa janja janja tu nafuu hata ya GSM.Mo sio mtu wa kumuamini hata kidogo ni kigeugeu simba wakae tako moja tu hakuna jingine.

Kila siku utasikia mara mchakato haujakamilika ,mara 20B hela nyingi naweza fungua bank kama anaona 20B inatosha kufungua bank si akafungue ,juzi anakuja na kisingizio cha FCC haya ss kashajibiwa na FCC haitishe press nyingine ya majibizano.

Mo ana damu ya kihindi tusijisahaulishe jamani,kama alishindwa kopesha waziri pikipiki 20 atatoa 20B huyu??
 
Hao wanachama wanaopata huo mgao wa hisa, wao walitoa nini? Namaanisha kama mwanahisa kuna kitu unachangia, katika hizo 100% hisa walinunua, hivyo zikiuzwa wanakuwa na chao hapo. Sasa wanachama wa Simba wana nini walichochangia ili Mo akinunua hisa wao wawe wanufaika? Au ni kadi za uanachama ndio zinawabeba?
Wao ndiyo wamejenga timu hadi imekuwa na thamani kubwa leo. Wao ndiyo wamiliki wa timu.
 
Kama Mo ananunua 49% shares za Simba kwa 20bil, maana yake ni kuwa Simba ina thamani ya 40bil+. Je, hizo 20bil+ zilizobakia kwa wanachama ziko wapi?
Mkuu hapo ndo kimbembe maana hisa moja ina cost 40M+,je Mo akiweka mzigo wanachama wapo tayar kuweka the rest %?!,

Ila kuna baadhi yao wanasema eti wao 51% yao Ni majengo na baadhi ya assets za kampuni,

Sasa swali la kujiuliza ni kua je? Hizo assets zao zinafikia thamani ya 51%?.
 
Lakini mkuu hao wanachama wakija kubaki na 51, watapata nini kutokana na zile 49 walizompa Mo? Kumbuka hela ya kuuza hisa hairudi kwenye kampuni.

kuna ile unakuta kampuni ina hali mbaya basi unaomba muwekezaji aweke hela kwa mbadala wa hisa. Hapa hela huenda kwenye kampuni na hesabu yake huwa tofauti, labda kama ndicho kinachofanyika Simba.
Mkuu naona wao 51% Ni lile jengo k/Koo na uwanja wa bunju(japokua Mo aliwasaidia pa kubwa),

Kama faida club ikiiipata,naona wata-i-retain kwa club.
 
Depends on terms of partnership.
Huyu yeye ndo haelewi,hivi ukienda kununua hisa 10000 za CRDB unatoa hela nusu au hela yote? Halafu kila mkataba una terms na conditions zake.
 
According to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,

Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,

Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,

Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,

Karibu.
Simba inatakiwa iwe transformed kutoka Simba Sports Club inayomilikiwa na Wanachama na kwenda kuwa Simba Sports Club inayomilikiwa Simba Sports Club Company Limited chini ya uenyekiti ya Mo, itakayo milikiwa na Simba Sports Club Holdings inayo Milikiwa na Mo Simba Company inayomilikiwa na Mo.

Kipi msichokielewa hapo?
 
Back
Top Bottom