Aya tufanye siku ndio ishakua simba kampuni ,nani sasa atakaekabidhiwa iyo b20 ambae atakua mmilik wa iyo simba kampuniAccording to FFC,Simba bado hawajakamilisha mchakato,kwahiyo Simba bado haijawa kampuni,
Mo dewji hauzi shares,ila ana mpango wa kununua shares za 49% ambazo zina gharimu 20B kwa mujibu wake na viongozi wa Simba,
Kwa madai yao mchakato ukikamilika wa ku-transform club from member's tier to shareholders' tier ndo ataweka mzigo,
Ikumbukwe Simba wanatumia mfumo wa 'board of directors' ilihali club bado haijawa transformed,
Karibu.
Mkuuu wenyewe wanadai kua assets za Simba ambazo zinatokana na nguvu ya wanachama ndo hizo 51%.Aya tufanye siku ndio ishakua simba kampuni ,nani sasa atakaekabidhiwa iyo b20 ambae atakua mmilik wa iyo simba kampuni
OkMkuuu wenyewe wanadai kua assets za Simba ambazo zinatokana na nguvu ya wanachama ndo hizo 51%.
Wanasema wachezaji ni BIOLOGICAL ASSET.Swali langu kwa wale watalaamu wa uhasibu,Hivi simba ikiwa kampuni Assets zinatajumuisha na wachezaji? na kama hapana vipi pale wanapouza wachezaji wanakuwa wanauza nini ki- uhasibu, yaani treatment yake kwenye vitabu inakuwaje.Angalizo hapa panahitaji jibu la kihasibu,kama siyo mhasibu jipe nafasi ujifunze kutokana na majibu.
Acheni masihara, hivi munamjua vizuri Mo? Yule ni muhindi, alioloona yeye wewe huwezi kuona kirahisi, hadi ukija kuona kashakula zaidi ya mara ishirini ya hiko kiasi unachosema kakurupuka,Ni kweli boss Mo alikurupuka kutaja hiko kiasi,Maana mpaka Leo hawajui club ina thamani gani,Wanachama wao wangapi TZ nzima n.k
Mkuu kawachokoza akina Pope kivipi?Mo Dewji kawachokoza hawa waswahili wa Simba sc akina Hans Pope . Tutegemee Headlines za Msimbazi kila siku.
kigwangalla kaomba msamaha kinafiki (indirectly) kwa Mo kama vile anamchekaa sana kwa sasa
Kwahyo Simba anaenda kupigwa?Acheni masihara, hivi munamjua vizuri Mo? Yule ni muhindi, alioloona yeye wewe huwezi kuona kirahisi, hadi ukija kuona kashakula zaidi ya mara ishirini ya hiko kiasi unachosema kakurupuka,
Hajakosea, muhindi hakoseagi kijinga hesabu zinazohusu fwedhwaaaa, hasa hawa wanaokula mapilipili mengi
Nimeamua nikujibu wewe maana swali lako huko juu wengi wameuliza na bila kupata majibu, ile bilioni 20 anayotoa Mo ikiingia kwenye akaunti ya simba hapohapo inaamishwa inapelekwa serikalini kununua bonds, ile return inayotokana na bonds ndio inatumika kuendesha simba, kwahiyo hapo Bilioni 20 za mo zinabaki vilevile kwahiyo hata siku akiamua kujitoa mzigo wake anaukuta vilevile,Aya tufanye siku ndio ishakua simba kampuni ,nani sasa atakaekabidhiwa iyo b20 ambae atakua mmilik wa iyo simba kampuni
Someni post #72Simba hawatoi kitu maana wao ndio brand/project ambayo Mo anakusudia kuweka mzigo in a return of profit,
Kuhusu Mo generate profit au kufanya Kama hisani hapo ni 'secrecy of the business' ila inaaminiwa kua Mo anataka kuisaidia Simba kule ilipotoka,
Hizo hisa nyingine 51% zitamilikiwa na club members,Lakini sio mtu mmoja eti kumiliki hisa kwa more than 50%,
Karibu.
Soma post #72Mi naelewa kwamba kama mtu unakampuni, tuseme mtaji wake ni 1,000,000 na wewe ni mmiliki asilimia 100. Ukimuuzia mtu asilimia 50 ya kampuni basi atakupa 500,000 na wewe utazitia mfukoni na kwenda kunywa bia , kuhonga nk.
Sasa Mo anavyonunua hisa na kutoa hizo 20 b anamkabidhi nani ambaye ndiyo mmiliki wa Simba?
Duh!!! Nchi Ina Mambo hii.Nimeamua nikujibu wewe maana swali lako huko juu wengi wameuliza na bila kupata majibu, ile bilioni 20 anayotoa Mo ikiingia kwenye akaunti ya simba hapohapo inaamishwa inapelekwa serikalini kununua bonds, ile return inayotokana na bonds ndio inatumika kuendesha simba, kwahiyo hapo Bilioni 20 za mo zinabaki vilevile kwahiyo hata siku akiamua kujitoa mzigo wake anaukuta vilevile,
cross multiply utapata jibuNa wao Simba wanatoa nini?.
Na hizo hela zitarudi vipi.au ni msaada?
Kama moo amepewa hisa ya 49% na anatakiwa atoe bilioni 20.
Simba waliobaki na hizo asilimia 51% wao wanatoa nini?
Umekielewa ulichoandika?Watu hawaelewi uwekezaji huo, pesa huwa hazitoki kwa mkupuo mmoja,,inatoka in installments over a specific period of time
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si sunday manara?,,au ulitaka akabidhiwe nani?
AngalauAnatakiwa awape Simba sports club company,
Na hela itakua deposited kwenye account ya kampuni,
Nadhani nimekujibu swali lako vizuri.
Halafu nani azichote huko? Na kuzitumiaje?Anatakiwa awape Simba sports club company,
Na hela itakua deposited kwenye account ya kampuni,
Nadhani nimekujibu swali lako vizuri.