Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Mpk akinyimwa mkopo ndio utamskiaHakika pesa inamwagika msimu huu pale msimbazi
Kigwangala yuko wapi atoe pongezi ?
Mpanzu anakuja kweli?Mpumbavu yule, hawezi hata kutuma nauli ya Mpanzu toka Congo
Mpanzu amegoma kucheza shirikishoMpumbavu yule, hawezi hata kutuma nauli ya Mpanzu toka Congo
πππππAnasubiri nyie mmalize kwanza yeye apige mshino
Si amuombee lift kwenye maloriMpumbavu yule, hawezi hata kutuma nauli ya Mpanzu toka Congo
Alijibu Kigwangala hili swali.Kuna kitu huwa sielewi naomba mnieleweshe. Kwa mujibu wa mchakato wa mabadiliko, wanachama wanamiliki 51% ya hisa pale Simba na Mo (mwekezaji) anamiliki 49%.
Sasa inakuwaje pesa za usajili tunategemea Mo ndio atoe nyingi kuliko wanachama?????
Hv kumbe hawa wachezaji wanatumiwa nauli, sikuwahi kulikuwa hlo.....nlijuaga ni dadazetu tuMpumbavu yule, hawezi hata kutuma nauli ya Mpanzu toka Congo
Sema kweliKigwangala yuko sawa bil 20 mwamedi ndo hataki kusema ameweka acc gani. Sema mwamedi anajua mashabiki wa simba ni mazezeta hawana ujanja wakuhoji.
DahHv kumbe hawa wachezaji wanatumiwa nauli, sikuwahi kulikuwa hlo.....nlijuaga ni dadazetu tu
Hv kumbe hawa wachezaji wanatumiwa nauli, sikuwahi kulikuwa hlo.....nlijuaga ni dadazetu tu