Hivi mpenzi wako akikuacha bila taarifa ndo anakuwa anamaanisha nini?

Hivi mpenzi wako akikuacha bila taarifa ndo anakuwa anamaanisha nini?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lakini ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake?

Natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!,

Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!

Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
 
Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lkn ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake..?!!

natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!, Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!.
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Umejaribu kula wali😅?!
 
IMG_20241202_181448_121.jpg
 
Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lkn ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake..?!!

natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!, Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!.
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Anakuwa ana maanisha kuwa amekuacha bila taarifa.
 
Back
Top Bottom