The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Kabla ya kuanza kunung'unika Jiulize does worth you in 10 Years to come? Kama jibu ni no. Potezea hicho kinembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali unapunguza akili kaka jaribu japo chapati Kila siku na maharage yakutosha na ndizi yako mbili daily utamsahau uyu bibie na utafika mbali🥴Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lakini ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake?
Natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!,
Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Soon nawe utajiacha.unamaanisha nini mkuu ya kwamba mimi naachwa sana ama...??
Anakua Kakuacha tuHakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lakini ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake?
Natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!,
Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Skanka ni Bangi iliyochanganywa na vitu vingne vinavyosababisha ilete stimu mara mbili zaidi ya ile ya kawaida....kiufupi ni Bangi yenye madhara makubwa sana kuliko ile Bangi ya kawaida.Ndo nini
Aisee...watu wamechokaSkanka ni Bangi iliyochanganywa na vitu vingne vinavyosababisha ilete stimu mara mbili zaidi ya ile ya kawaida....kiufupi ni Bangi yenye madhara makubwa sana kuliko ile Bangi ya kawaida.
Naam hii positive gratitude, akiweka kwa akili hii wala hato teseka, why sababu ata move on faster and itampa muda wa kujirekebishaKuachwa ni Jambo zuri ukilinganishwa na kufanyiwa maigizo na unafiki na kuitwa mpumbafu mbele ya rafiki zake.
Kwa kifupi AMETOA nafasi Ili aliye Bora zaidi yake aingie. At all Kama na wewe ni Bora .
Ushauri.
1. Shukuru MUNGU.
2. Jitathimini Kama kweli kuna thamani uliongeza kwake.
3. Aliye Bora zaidi yake yupo na anakusibiri. Nikague na ujisahihishe.
SI RAHISI MTU AACHE KILICHO BORA ZAIDI.
Usilie lie. Bali chunguza umepata funzo GANI Ili kesho uwe Bora zaidi na usiachwe tena.
Nakutakia KILa la kheri.
sasa hii ndio namna nzuri ya kuachana ina faida mbelenAchwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako