Umejaribu kula waliπ ?!Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lkn ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake..?!!
natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!, Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!.
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
We ata ule ndizi kuachwa kupo pale paleHuo umenikaba kabisa halafu ukanipalia kwa wakati huohuo!, ulishawahi kutumbua jicho mpk ukaona protons..??!
Vijana mtafute pesaDaaah sema wakuu na hayo mapenzi yatawaua aiseee
πππππ Mbona unatufokea mkuu wanguVijana mtafute pesa
Historia Yako ya mapenzi.ipojeunamaanisha nini mkuu ya kwamba mimi naachwa sana ama...??
Nawapa ushauriπππππ Mbona unatufokea mkuu wangu
Hatupangiwi maisha mkuuNawapa ushauri
Anakuwa ana maanisha kuwa amekuacha bila taarifa.Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lkn ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake..?!!
natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!, Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!.
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!