anakuweka pending, atakurudia kwa kujilizaHakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lkn ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake..?!!
natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!, Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!.
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Kapata bwana mpya huyo, ili umkomoe vizuri mchukulie huyo bwana akenisikubali hivyo nimfanye nini..??
Poa mkuu, Kwan ww ulipanga umfanye nn?mkuu una IQ kama ya peremende!
Akate mtu shingo😂asikubali dharauAkikuacha ujue ameona huna tofauti na yeye, amekuona ww ni kama shosti yake tu. Dharau sana hiyo usikubali
kwani unafikiri kwanini amefanya hivyo, maana anakuwezaunanishauri nini akirudi..?
Na Bando!Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lakini ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake?
Natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!,
Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!
Mtihani wa Kiswahili wa kazi gani? Ili iweje?kwenye mitihani yako ya Kiswahili ulikuwa unapata ngapi..?
Mzee wa matukio!Hakuishia hapo tu aliniambia tukiachana hawezi tena kuishi!, lakini ni miezi sasa anadunda tu, sasa najiuliza ni yeye yuleyule au ni mzimu wake?
Natamani nikamshike ili nijue ni mzimu ama binadamu sitaki kuamini kama bado anaishi halafu bila mimi!,
Achwa vyote usiombe kuachwa bila taarifa unakuwa unaenda kwenye kioo unajiangalia halafu unaongea peke yako!
Mapenzi kiboko mimi sio wakushindwa kula ugali!