Hivi mpenzi wako akikuacha bila taarifa ndo anakuwa anamaanisha nini?

Ugali unapunguza akili kaka jaribu japo chapati Kila siku na maharage yakutosha na ndizi yako mbili daily utamsahau uyu bibie na utafika mbaliπŸ₯΄
 
Taratibu kila mtu lazima achanganyikiwe ni suala la muda tu
 
Komwe, kimekukuta kitu! Woiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anakua Kakuacha tu

Unataka taarifa gani sasa?
 
Naam hii positive gratitude, akiweka kwa akili hii wala hato teseka, why sababu ata move on faster and itampa muda wa kujirekebisha

Lakin pia atabaki na moyo mweupe, then with time yule sahihi atakuja kwenye maisha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…