rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Sasa suala la umri linakuhusu nini...!!?
Wewe maswali yangu kwa mtoamada yanakuhusu nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa suala la umri linakuhusu nini...!!?
profile pictureDp ninini ndugu?
yule wa maua amekublock ? i mean x wakoHabari za leo wapendwa?
Kuna jamaa yangu ana galfriend wake anasoma Mzumbe ya Mbeya. Walikua wako poa tu kimahusiano na kimawasliano. Huyu jamaa makazi yake ni hapa Arusha na gal kwao ni Dar.
Sasa kama week tatu zilizopita huyu manzi alianza kupunguza mawasiliano na jamaa, then jamaa akatumia busara kidogo akamuuliza kulikoni au kama kuna kitu kamkosea amwambie. Manzi akasema hamna kitu ni vile tu yuko bize anajiandaa na final exams.
Well mawasiliano yakawa hivyo hivyo tu ya kusuasua ikafika siku jamaa akampigia manzi akamwambia amwambie lini atakua free ili ndo awe anamtafuta maana kwa wakati ule ilikua kama usumbufu vile na pia alitaka kumpa muda wa kukonsetreti na shule. Manzi akasema tarehe 11 july atakua kamaliza paper.
Wakakaa bila kuwasliana toka 22 june mpaka juzi tarehe 11 ndo jamaa kamtafuta manzi. Wameongea fresh ila manzi akaanza kumlalamikia jamaa angu kwamba hayuko fair coz kipindi kile yeye anamwambia yuko bize akadhani anamdanganya inaonyesha ni jinsi gani hamuamini.
Kukawa na malumbano kidogo hapo mwishowe binti kakasirika na kumblock jamaa number yake, akimpgia anaambiwa number bize. Sasa wakuu,hii kesi imeletwa mbele yangu niitolee maamuzi. Nimemhoji jamaa kama bado anampenda manzi kasema yes na kamfanyia intelijensia kagundua hana mtu yeyote.
Nyie watanzania wenzangu mnaweza kumpa mbinu gani kijana wenu ili aweze kumrejesha msichana wake?
Rubii...... watoto hao, akili azijapata akili vyema.@aWewe maswali yangu kwa mtoamada yanakuhusu nini??
kupuuziwa na mwenza inaumaaa!!!!! jaman kama mnasoma huko chuO muwage mnawafeel wenzenu kuw wanaitaj UPENDO wa mahaba sio mawasiliano yanakuwa yakusuasua mda wote upo BUSY,,, kwanin muwatese wenzenu kisa wanaume / wanawake huko chuo ni wengi Pia matata na wazuri kwa sent za wazazi /mikopo ,,, jaribu kusikia kilio cha anaekuwazia kama ni bize hata yey anaweza kuwa bize mbona.
Duh....wamefkia apiiHabari za leo wapendwa?
Kuna jamaa yangu ana galfriend wake anasoma Mzumbe ya Mbeya. Walikua wako poa tu kimahusiano na kimawasliano. Huyu jamaa makazi yake ni hapa Arusha na gal kwao ni Dar.
Sasa kama week tatu zilizopita huyu manzi alianza kupunguza mawasiliano na jamaa, then jamaa akatumia busara kidogo akamuuliza kulikoni au kama kuna kitu kamkosea amwambie. Manzi akasema hamna kitu ni vile tu yuko bize anajiandaa na final exams.
Well mawasiliano yakawa hivyo hivyo tu ya kusuasua ikafika siku jamaa akampigia manzi akamwambia amwambie lini atakua free ili ndo awe anamtafuta maana kwa wakati ule ilikua kama usumbufu vile na pia alitaka kumpa muda wa kukonsetreti na shule. Manzi akasema tarehe 11 july atakua kamaliza paper.
Wakakaa bila kuwasliana toka 22 june mpaka juzi tarehe 11 ndo jamaa kamtafuta manzi. Wameongea fresh ila manzi akaanza kumlalamikia jamaa angu kwamba hayuko fair coz kipindi kile yeye anamwambia yuko bize akadhani anamdanganya inaonyesha ni jinsi gani hamuamini.
Kukawa na malumbano kidogo hapo mwishowe binti kakasirika na kumblock jamaa number yake, akimpgia anaambiwa number bize. Sasa wakuu,hii kesi imeletwa mbele yangu niitolee maamuzi. Nimemhoji jamaa kama bado anampenda manzi kasema yes na kamfanyia intelijensia kagundua hana mtu yeyote.
Nyie watanzania wenzangu mnaweza kumpa mbinu gani kijana wenu ili aweze kumrejesha msichana wake?
Poleni sanaHabari za leo wapendwa?
Kuna jamaa yangu ana galfriend wake anasoma Mzumbe ya Mbeya. Walikua wako poa tu kimahusiano na kimawasliano. Huyu jamaa makazi yake ni hapa Arusha na gal kwao ni Dar.
Sasa kama week tatu zilizopita huyu manzi alianza kupunguza mawasiliano na jamaa, then jamaa akatumia busara kidogo akamuuliza kulikoni au kama kuna kitu kamkosea amwambie. Manzi akasema hamna kitu ni vile tu yuko bize anajiandaa na final exams.
Well mawasiliano yakawa hivyo hivyo tu ya kusuasua ikafika siku jamaa akampigia manzi akamwambia amwambie lini atakua free ili ndo awe anamtafuta maana kwa wakati ule ilikua kama usumbufu vile na pia alitaka kumpa muda wa kukonsetreti na shule. Manzi akasema tarehe 11 july atakua kamaliza paper.
Wakakaa bila kuwasliana toka 22 june mpaka juzi tarehe 11 ndo jamaa kamtafuta manzi. Wameongea fresh ila manzi akaanza kumlalamikia jamaa angu kwamba hayuko fair coz kipindi kile yeye anamwambia yuko bize akadhani anamdanganya inaonyesha ni jinsi gani hamuamini.
Kukawa na malumbano kidogo hapo mwishowe binti kakasirika na kumblock jamaa number yake, akimpgia anaambiwa number bize. Sasa wakuu,hii kesi imeletwa mbele yangu niitolee maamuzi. Nimemhoji jamaa kama bado anampenda manzi kasema yes na kamfanyia intelijensia kagundua hana mtu yeyote.
Nyie watanzania wenzangu mnaweza kumpa mbinu gani kijana wenu ili aweze kumrejesha msichana wake?
Huu utoto sasaHabari za leo wapendwa?
Kuna jamaa yangu ana galfriend wake anasoma Mzumbe ya Mbeya. Walikua wako poa tu kimahusiano na kimawasliano. Huyu jamaa makazi yake ni hapa Arusha na gal kwao ni Dar.
Sasa kama week tatu zilizopita huyu manzi alianza kupunguza mawasiliano na jamaa, then jamaa akatumia busara kidogo akamuuliza kulikoni au kama kuna kitu kamkosea amwambie. Manzi akasema hamna kitu ni vile tu yuko bize anajiandaa na final exams.
Well mawasiliano yakawa hivyo hivyo tu ya kusuasua ikafika siku jamaa akampigia manzi akamwambia amwambie lini atakua free ili ndo awe anamtafuta maana kwa wakati ule ilikua kama usumbufu vile na pia alitaka kumpa muda wa kukonsetreti na shule. Manzi akasema tarehe 11 july atakua kamaliza paper.
Wakakaa bila kuwasliana toka 22 june mpaka juzi tarehe 11 ndo jamaa kamtafuta manzi. Wameongea fresh ila manzi akaanza kumlalamikia jamaa angu kwamba hayuko fair coz kipindi kile yeye anamwambia yuko bize akadhani anamdanganya inaonyesha ni jinsi gani hamuamini.
Kukawa na malumbano kidogo hapo mwishowe binti kakasirika na kumblock jamaa number yake, akimpgia anaambiwa number bize. Sasa wakuu,hii kesi imeletwa mbele yangu niitolee maamuzi. Nimemhoji jamaa kama bado anampenda manzi kasema yes na kamfanyia intelijensia kagundua hana mtu yeyote.
Nyie watanzania wenzangu mnaweza kumpa mbinu gani kijana wenu ili aweze kumrejesha msichana wake?