Hivi mpenzi wako kama ni mwanga/mchawi anaweza kuja kwako night kukufumania?

Hivi mpenzi wako kama ni mwanga/mchawi anaweza kuja kwako night kukufumania?

Mmmh mkuu unanitisha sasa,

Naweza kumuacha? Maana staki kufika huko
Acha uoga piga chini anayozidi kuishi na wewe lazima tu uje kuwa mchawi. Atakulisha dawa utasahau hadi ndugu zako. Mwanamke mchawi au mshirikina sio wa kumchekea au kuuliza. Nina rafiki yangu baba yake mzazi anataka kumtoa sadaka kichawi huu mwaka wa kumi anapambana nae ni mateso makubwa. Ile kasi kauzia wachawi wenzake basi kila kukicha huko nyumbani ni tafrani kabisa. .

Formula ni moja tu kaa mbali na wachawi. Nina rafiki yang mwingine mke wake alikuwa anamloga eti asifanikiwe. Baada ya kuja kumwacha ndio kajua kupitia rafiki zake na kweli kazi ana nzuri na hela zinakuja sasa.
 
Acha uoga piga chini anayozidi kuishi na wewe lazima tu uje kuwa mchawi. Atakulisha dawa utasahau hadi ndugu zako. Mwanamke mchawi au mshirikina sio wa kumchekea au kuuliza. Nina rafiki yangu baba yake mzazi anataka kumtoa sadaka kichawi huu mwaka wa kumi anapambana nae ni mateso makubwa. Ile kasi kauzia wachawi wenzake basi kila kukicha huko nyumbani ni tafrani kabisa. .

Formula ni moja tu kaa mbali na wachawi. Nina rafiki yang mwingine mke wake alikuwa anamloga eti asifanikiwe. Baada ya kuja kumwacha ndio kajua kupitia rafiki zake na kweli kazi ana nzuri na hela zinakuja sasa.
Aisee huyu ni wakupiga chini kwanza ni mchepuko tu kama mamaJ wa DeepPond 😅😅😅😅 si unajua nimeacha familia Dar na nipo Dodoma huyu mbena asinisumbue maana ananikaba sana night🤣🤣🤣🤣
 
Aisee huyu ni wakupiga chini kwanza ni mchepuko tu kama mamaJ wa DeepPond 😅😅😅😅 si unajua nimeacha familia Dar na nipo Dodoma huyu mbena asinisumbue maana ananikaba sana night🤣🤣🤣🤣
Wachawi wa bongo hawataki maendeleo na hawana roho ya maendeleo. Wangekuwa watu wa maendeleo basi Africa tungekuwa mbali kweli. Kazi zao ni kurudisha wenzao nyuma ndio maana mikoa ya kichawi kama Lindi, Pwani, Sumbawanga maendelo yanapita kwa kasi ndogo sana.

Usijiushishe kabisa na wachawi na mchunguze pweza kabla hujamla, ukiona haliki achana nae mbona mademu wako wengi sana. Au nyege zikizidi ukaribie kwenye kile chama cha kujichukulia sheria mkononi hakijawahi kuwa na shida 😬
 
Wachawi wa bongo hawataki maendeleo na hawana roho ya maendeleo. Wangekuwa watu wa maendeleo basi Africa tungekuwa mbali kweli. Kazi zao ni kurudisha wenzao nyuma ndio maana mikoa ya kichawi kama Lindi, Pwani, Sumbawanga maendelo yanapita kwa kasi ndogo sana.

Usijiushishe kabisa na wachawi na mchunguze pweza kabla hujamla, ukiona haliki achana nae mbona mademu wako wengi sana. Au nyege zikizidi ukaribie kwenye kile chama cha kujichukulia sheria mkononi hakijawahi kuwa na shida 😬
Bro saivi kila weekend bora nichome nauli niende Dar huyu ataniua na kabari za usiku maana duh😅😅
 
Bro saivi kila weekend bora nichome nauli niende Dar huyu ataniua na kabari za usiku maana duh😅😅
Hahahah ngoja ujiunge na chama chao ili uwatafune vizuri 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 wenzako waenda kuwanga wewe unawaza kuwatafuna ila wakikugundua watakufukuza maana wanajua umeend kuwala tu
 
Haiwezikani maana ataishia kuumbuka, bongo uchawi ni siri tofauti na Ulaya sio siri. Zaidi ataishia kuumia kufa nalo moyoni au akuloge.
 
Hahahah ngoja ujiunge na chama chao ili uwatafune vizuri 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 wenzako waenda kuwanga wewe unawaza kuwatafuna ila wakikugundua watakufukuza maana wanajua umeend kuwala tu
😅😅😅😅😅 hapana sijiungi aisee
 
Haiwezikani maana ataishia kuumbuka, bongo uchawi ni siri tofauti na Ulaya sio siri. Zaidi ataishia kuumia kufa nalo moyoni au akuloge.
Sasa huy kanikaba alfajiri na kunihoji mawali yaliyopelekea kuhisi ni mpenzi angu tu maana kila anachouliza ni kile nimfanya nae tu
 
Onyo kwa wanawake mpendao kulala chali mguu pande uchi usiku ipumue ni hatari akipita jini au mchawi lazima akuingilie maana nature ile kitu inasumaku,funika mwili wako ulalapo, usijiingiliwa na mapepo usiku.
 
Back
Top Bottom