EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
Kabisa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mr wise the Einstein hataki dhambiiii 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mr wise the Einstein hataki dhambiiii 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣
Asante kwa ushauri mkuuAchana nae kimbia huyo mwanga
Nusu nipaliwe na chai uwiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muulize huyo mchawi wako [emoji2957]
Sisi hatuna experience za kudate wanga/ wachawi.
Lala na hata bikini 😂😂😂Onyo limezingatiwa 🤣🤣
Ila kipindi cha joto sijui itakuwaje!!.
Kabisa kwa Umbea😅😅Nusu nipaliwe na chai uwiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]umbea muhimu mkuuKabisa kwa Umbea[emoji28][emoji28]
Depal mambo?Muulize huyo mchawi wako 🤪
Sisi hatuna experience za kudate wanga/ wachawi.
Onyo limezingatiwa 🤣🤣
Ila kipindi cha joto sijui itakuwaje!!.
Namshauri akasome kitabu cha Makwaia wa Kuhenga (sikumbuki proper title) aliandika kuhusu alioa mke mchawi.Wanga/wachawi waganga na wenye experience mnaitwa hukuu!!
Mtoa mada come this side pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!Namshauri akasome kitabu cha Makwaia wa Kuhenga (sikumbuki proper title) aliandika kuhusu alioa mke mchawi.
Bro hayajakukuta bado endelea kutukana😅😅😅😅
Dada ifike sehemu tuheshimiane😅😅Mtoa mada come this side pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Ngoja leo aje nimpe jina tu akuamshie moto usiku mzima ila USIMPAUE ni shemeji yakoHayawezi kunikuta sababu hayapo. Hata wewe hayawezi kukuta na hamna mtu anayeweza kuthibitisha pasi na shaka kukutwa na ushirikina. Story zote za ushirikina ni story za hearsay au imani bila reasoning yeyote ile.
Habarini za asubuhi,
Inawezekama mpenzi wako kama ni mwanga kuja kwako night akakukuta na mwanamke mwingine, kesho yako akakasirika au kukuwashia moto au kufanya jambo lolote mpenzi analoweza kufanya akimfumania mwenzi wake?
Maana si ana uhakika na alichokiona?
Au akija anakuona wewe pekee manzi jirani hapo kitandani hamuoni?
Au memory pakishakucha inakata anakuwa hakumbuki chochote?
Je, anaweza kukuongelesha akija night?
Naomba kujuzwa.
Muwe na siku njema.
Ngoja leo aje nimpe jina tu akuamshie moto usiku mzima ila USIMPAUE ni shemeji yako
Halafu??🤣🤣🤣mimi alishakujaga akanikuta napiga bakari nondo[emoji16][emoji16]