Hivi mpenzi wako kama ni mwanga/mchawi anaweza kuja kwako night kukufumania?

Hivi mpenzi wako kama ni mwanga/mchawi anaweza kuja kwako night kukufumania?

Mkuu EINSTEIN112 nenda kwenye huu uzi kwenye hii link, niliahidi kutoa laki5 kwa yeyote atayenipa jina la huyo diwani hadi leo hii sijapata jibu sio kwa mleta uzi mwenyewe au yeyote yule aliyeamini huu upuuuzi. Wabongo ukiwaambia kitu ni uchawi tu wanaamini moja kwa moja bila reasoning yeyote ile. Hadi leo nasubiri jibu sijapata.

 
Mkuu EINSTEIN112 nenda kwenye huu uzi kwenye hii link, niliahidi kutoa laki5 kwa yeyote atayenipa jina la huyo diwani hadi leo hii sijapata jibu sio kwa mleta uzi mwenyewe au yeyote yule aliyeamini huu upuuuzi. Wabongo ukiwaambia kitu ni uchawi tu wanaamini moja kwa moja bila reasoning yeyote ile. Hadi leo nasubiri jibu sijapata.

Ngoja nipitie kabla sijampa mabanzi huyu binti
 
Mzee una date na Mwanga au Mganga wa kienyeji? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mchimbe mkwara mzito mwambie umeshajua kuwa yeye ni mchawi, mizimu ya kwenu imekuonyesha!
Na ole wake ajaribu kukufanya lolote atajuta,wachawi ni waoga wakigundua umefahamu mchezo wao Kisha mpige chini mwanga huyo
 
Mchimbe mkwara mzito mwambie umeshajua kuwa yeye ni mchawi,mizimu ya kwenu imekuonyesha!
Na ole wake ajaribu kukufanya lolote atajuta,wachawi ni waoga wakigundua umefahamu mchezo wao Kisha mpige chini mwanga huyo
🤣🤣🤣🤣 nasubiri ajaribu tena aone
 
Back
Top Bottom