DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Hivi kula na kulala kwa shemeji ni dhambi ?Ndio mambo mnayoshindia wanaume wa daresalama!
Mkitoka hapo kula kulala kwa Shemeji?
Akiwa nazo au asiwe nazo wewe inakusaidia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kula na kulala kwa shemeji ni dhambi ?Ndio mambo mnayoshindia wanaume wa daresalama!
Mkitoka hapo kula kulala kwa Shemeji?
Akiwa nazo au asiwe nazo wewe inakusaidia nini?
Unajua mshahara wa ronaldo kwa mwaka!?...hivi mnacheza na billion 19!!?Labda account ya instagram
sio kosa ila madhara yake ni kuwaza vitu vya kijinga km hivi...sababu ukishashiba na jion una uhakika wa kula na kulala we unadhan utawaza niniHivi kula na kulala kwa shemeji ni dhambi ?